Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

Mbona kina Jeff bezos licha ya kuwa na Pesa na wao pia wameachwa umesahau kuhusu yule said na manzi wake waliouana Kule Kanda ya ziwa !? Inshort mapenzi ya siku hizi yamekuwa ni kama quantum physics hayaeleweki kabisa so Complexity

Wanaume /wanawake Wote tunapaswa kutafuta pesa Kwa nguvu zote kwaajili ya kujikomboa kiuchumi maana kuishi ni gharama na dhiki inaumiza sana na kufedhehesha so tunapaswa kutafuta pesa kwaajili ya kujikomboa kutoka ktk minyonyoro ya umasikini na dhiki zake na sio tutafute Pesa kwaajili ya kum impress mtoto wa mtu maana binaadamu still ni kigeu geu in nature binaadamu Ni kiumbe ambaye akiwa Hana kitu atajishusha ata jinyenyekeza kwa hicho kitu au mwenye nacho lakini akisha kupata hicho kitu hukizoea na kukiona kuwa ni Cha kawaida mwisho wa siku hutamani kitu kingine tofauti na kile Cha awali ..

Tatafute Pesa for the sake of our life full stop
 
Kama huna hela utaishia kunawa tu, hutokaa ule mzee [emoji16][emoji16]
Fall for your type , shida huanza wakati huna Pesa halafu unataka vilivyo kuzidi kimo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huku mitaani Kuna watu kibao hawana uhakika hata na upatikanaji wa Milo mitatu lakini wanawake / wapenzi ,
 
Fall for your type , shida huanza wakati huna Pesa halafu unataka vilivyo kuzidi kimo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huku mitaani Kuna watu kibao hawana uhakika hata na upatikanaji wa Milo mitatu lakini wanawake / wapenzi ,
mkuu hata kama huna hela ? wapi naweza pata manzi ya hivyo
 
Na Kama unatafuta pesa ili upendwe basi ndio Kabisa akili za mtu huyo hajitambui.

Kupendwa ni natural, ukiona mtu anakipendea pesa jua hakupendi isipokuwa pesa zako.

Mwanaume anatafuta pesa Kwa sababu ni jukumu lake kutunza familia na jamii ili aheshimike.

Mwanaume hapendwi na kamwe hatafutwi kupendwa
Uko sahihi kabisa [emoji419]
 
mkuu hata kama huna hela ? wapi naweza pata manzi ya hivyo
Zipo wewe unaishi Tanzania Gani !? Kuna watu wanalipwa mshahara wa laki na nusu Kwa mwezi na Wana wapenzi /wanawake hujui au !?

Boda Boda kibao ambao Huwa wana tubeba baadhi Yao wanawapenzi wao .. issues ni kwamba baadhi yetu sisi watoto wa mjini Tunataka mambo magumu Balaa ndio Huwa Lina anzia hapo
 
Zipo wewe unaishi Tanzania Gani !? Kuna watu wanalipwa mshahara wa laki na nusu Kwa mwezi na Wana wapenzi /wanawake hujui au !?

Boda Boda kibao ambao Huwa wana tubeba baadhi Yao wanawapenzi wao .. issues ni kwamba baadhi yetu sisi watoto wa mjini Tunataka mambo magumu Balaa ndio Huwa Lina anzia hapo
Issue ni pesa, hakuna cha bure hapo. Maana yangu uwe mikono mitupu kabisa .. lazima hata uwe na kidogo sio empty kabisa
 
Hii big NO nimekataa [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii utakataa, ila mwanamke ni mtu mmoja mbinafsi hujwahi ona. Pesa yakununua kila kitu ataomba kwako hata ya kununua vocha ila itamkuta online akifanya yake atarudi kwako akiwa na shida. Ukitaka kujua hili, jaribu mapenzi ya mbali ndio utajua mwanamke alivyombinafsi. Atakusalimia wakati wa shida tu[emoji23][emoji23][emoji23], anasahau hizo shida zitamrudisha tu. Aisee wana, nyie chakazeni tu[emoji23][emoji23][emoji23], sisi utuwema ulituponza mno, na kubadilika ni ngumu hivyo tusaidieni.
 
Bwana weee, nipo gehto hapa sina hata mia na hakuna mapenzi. Ningekuwa na hela najuwa na leo weekend ningekuwa nimeisha bebii leo wapi... hela mwana haramu [emoji1787][emoji1787]
Nakwambia hivi, hata pesa hazisaidii. Ukilelewa kimaadili fulani, huwezi amini hata kulala na mwanamke utaona aibu labda mpaka muwe na mahusiano yenye nguvu. Mnaoweza kwakweli tulipieni, yanauma usione hivi. Mwanamke ataomba athaminiwe ila atakayemthamini atamchukulia poa mpaka akishampoteza.
 
Nakwambia hivi, hata pesa hazisaidii. Ukilelewa kimaadili fulani, huwezi amini hata kulala na mwanamke utaona aibu labda mpaka muwe na mahusiano yenye nguvu. Mnaoweza kwakweli tulipieni, yanauma usione hivi. Mwanamke ataomba athaminiwe ila atakayemthamini atamchukulia poa mpaka akishampoteza.
Dugu yangu , acha tuishi tufe twende peponi.. dunia ni maumivu ya kichwa
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
hii utakataa, ila mwanamke ni mtu mmoja mbinafsi hujwahi ona. Pesa yakununua kila kitu ataomba kwako hata ya kununua vocha ila itamkuta online akifanya yake atarudi kwako akiwa na shida. Ukitaka kujua hili, jaribu mapenzi ya mbali ndio utajua mwanamke alivyombinafsi. Atakusalimia wakati wa shida tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
, anasahau hizo shida zitamrudisha tu. Aisee wana, nyie chakazeni tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
, sisi utuwema ulituponza mno, na kubadilika ni ngumu hivyo tusaidieni.
Wanaume wakiwa hawana Hela wana makasiriko balaa yaani kilakitu wanaona wanaonewa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom