Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

Kama unaamini unapendwa sana unajidanganya

Mapenzi ya Tanzania yapo kimaslahi zaidi, mwanaume unapendwa kwa kile ulicho nacho. Wanaume tutafute pesa usiku na mchana. Mwanaume asiye na pesa mapenzi ya dhati atayapata kwa mama yake.
Bado umelala wenzio hatutafuti pesa kwa ajiri ya mademu tunatafuta pesa kwa ajiri ya kuboreshamaisha yetu ili mademu watamani waombe lift kwenye maisha yetu
 
Bado umelala wenzio hatutafuti pesa kwa ajiri ya mademu tunatafuta pesa kwa ajiri ya kuboreshamaisha yetu ili mademu watamani waombe lift kwenye maisha yetu
Sasa end goal ni nini hapo km si pussy?

Au Unaboresha maisha yako ili ukamasturbate?

at the end of the day we all need to get laid.
 
Na Kama unatafuta pesa ili upendwe basi ndio Kabisa akili za mtu huyo hajitambui.

Kupendwa ni natural, ukiona mtu anakipendea pesa jua hakupendi isipokuwa pesa zako.

Mwanaume anatafuta pesa Kwa sababu ni jukumu lake kutunza familia na jamii ili aheshimike.

Mwanaume hapendwi na kamwe hatafutwi kupendwa
Kweli hatutafuti kuoendwa tunatafuta kugegeda tuu
 
Mkuu wewe umekutana na embe Ngwangwa tu. Wanawake wenye upendo wapo na wataendelea kuwepo.

Ingawa kwa zama hizi ni wachache ukimlinganisha na mangwangwa lkn wapo.

Wanakupenda hivo na harufu yako ya jasho na kinywa wakati huo huo usiku ukilala unajamba mpk asubuhi, lkn kamwe hutamsikia kakuvunjia heshima. Ndiyo kwanza atazidi kukuita honey.
 
Mapenzi ya Tanzania yapo kimaslahi zaidi, mwanaume unapendwa kwa kile ulicho nacho. Wanaume tutafute pesa usiku na mchana. Mwanaume asiye na pesa mapenzi ya dhati atayapata kwa mama yake.
Sina pesa na kuna binti anajua fika kwamba sina pesa ila ndio kaning'ang'ania kweli kweli. Je,ananipenda?. Na kama ananipenda,kanipendea nini?
 
Mapenzi ya Tanzania yapo kimaslahi zaidi, mwanaume unapendwa kwa kile ulicho nacho. Wanaume tutafute pesa usiku na mchana. Mwanaume asiye na pesa mapenzi ya dhati atayapata kwa mama yake.
Hata ukizipata nyingi zsidi ni shida zaidi.

Usitafute upendo wala furaha kupitia pesa unajidanganya
 
Mpaka inafikia hatua ya demu kukuvulia chupi lazima pesa imetumika kuna mawili
(1)Ushamuonga onga kiaina au umeshapigwa vizinga sana mixer kumnunulia vizawadi na kumtoa out. Pesa hiyooo

(2)Kama vyote hapo juu haukuvifanya na akakuvulia chupi baada ya kumbandua kuna kiasi utamtoa. Pesa hiyooo
 
Tafuta sana hela na ukizipata usipige nazo picha. Pia ukizipata zitumie kujiendeleza mwenyewe, ukijiendeleza utavutia wanawake wengi. Lakini ukimhonga mwanamke hela yote utampoteza yeye na wengine ambao watakuwa wanakuona ukifulia.
 
Back
Top Bottom