miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 504
- 927
Kama una mpenzi wako na anajua una biashara ila hakuna hata siku moja umemsikia akikwambia baby pole sana najua biashara yako inaathirika sana na hili janga la corona. Nakuombea mwenyeezi Mungu akupe moyo wa uvumilivu.
Ama hajawahi kuonyesha huruma yoyote kwa biashara yako ama shuhuli yako zaidi ya yeye kuwaza anapataje pesa kwako.
Basi ndugu una mtihani mkubwa sana kufikia kitu kinaitwa mafanikio. Kuna mapungufu unapaswa kuyavumilia ila asieonesha kuguswa na athari ya majange kwenye mishe zako huyo hafai hata kuwa rafiki sio tu mpenzi.
Nashukuru shemeji yenu kila mara anasema dah sasa dear na hii corona biashara inadorora si unapitia magumu sana, pole dear Mungu akupitishe salama.
Kama wewe huambiwi delete fasta mapenzi sio kuburudishana ila kujaliana. Afu hawa wasiojali chochote kwenye biashara zako au mishe zako ndio wanatakaga ujali hadi birthday zao. Hata chembe ya aibu hawana.
Jamani ikikugusa pole sijakusudia kumlenga mtu ila lengo langu kila mtu ajirekebishe ili kujenga mafanikio kwa kila kijana wa kitanzania. #miamiatz #KukuzaMaarifa #KuongezaUstawi #UstawiKwaWote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama hajawahi kuonyesha huruma yoyote kwa biashara yako ama shuhuli yako zaidi ya yeye kuwaza anapataje pesa kwako.
Basi ndugu una mtihani mkubwa sana kufikia kitu kinaitwa mafanikio. Kuna mapungufu unapaswa kuyavumilia ila asieonesha kuguswa na athari ya majange kwenye mishe zako huyo hafai hata kuwa rafiki sio tu mpenzi.
Nashukuru shemeji yenu kila mara anasema dah sasa dear na hii corona biashara inadorora si unapitia magumu sana, pole dear Mungu akupitishe salama.
Kama wewe huambiwi delete fasta mapenzi sio kuburudishana ila kujaliana. Afu hawa wasiojali chochote kwenye biashara zako au mishe zako ndio wanatakaga ujali hadi birthday zao. Hata chembe ya aibu hawana.
Jamani ikikugusa pole sijakusudia kumlenga mtu ila lengo langu kila mtu ajirekebishe ili kujenga mafanikio kwa kila kijana wa kitanzania. #miamiatz #KukuzaMaarifa #KuongezaUstawi #UstawiKwaWote
Sent using Jamii Forums mobile app