Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 644
- 713
πππππMleta mada a.ka. kubwa jinga pro max... kaukimbia uzi wake
πππππMleta mada a.ka. kubwa jinga pro max... kaukimbia uzi wake
πππππ nimecheka mpaka mbavu zinaumaView attachment 1686840ukute kajamaa kalikoleta huu uzi ni haka hapa
Hivi mo ameshaama kwao au bado anaishi na wazazi wake.
Yesu mpaka miaka 30 alikuwa anakula ugali kwa Maria na Yosefu, wewe kujenga kwenu tena haujaezeka unafungua na uzi. Watu bwana
Mwanangu, Mshikaji wangu Mnazareti mpaka leo miaka zaidi ya 2000 anaishi kwa Mshua wake..sembuse mie 30 tu?
Tena kwa kukazia, mpaka leo yuko kwa baba yake alipofufuka akaenda kuishi kwa baba yake hajaondoka sasa iweje mimi niondoke kwa baba.
Mimi ni kubwa jinga certified
Achana na maisha yetu
tusipangiane
Home vyumba kibao nikapange nigunduwe nini
Mleta uzi hebu rudi tuongee, hatukupigiππππ
Hakuna kukufuru hapa...fanyia kazi kauli ya mleta uzi mkuu.Daah Mkuu usikufuru.
Baba yako angekuwa na mawazo Kama yako ungelala Bar wewe.Home vyumba kibao nikapange nigunduwe nini
π€£π€£π€£π€£ kula like.Yesu mpaka miaka 30 alikuwa anakula ugali kwa Maria na Yosefu, wewe kujenga kwenu tena haujaezeka unafungua na uzi. Watu bwana
Uzi huu tuujadili baada ya miaka 5 kutoka leo.1. Hela ya vocha,kunyoa na kumpa demu wako bado unategemea upewe na baba au shemeji..
YESU hakuwa na mpango mkubwa Duniani zaidi ya kufa kifo Cha aibu kwa ajili ya binadamu wadhambi.Yesu mpaka miaka 30 alikuwa anakula ugali kwa Maria na Yosefu, wewe kujenga kwenu tena haujaezeka unafungua na uzi. Watu bwana
hahahaha mleta uzi ameshambuliwa sana tena sana lakini hapa ndio utagundua kila mtanzania ni dikteta kiasili maana walivyo mshambulia mtoa mada hadi kakimbia kabisa...hahaha
Huu uzi ni wa moto sana tena sana
Aiseeemwenye uzi wake hadi namuonea huruma ,Tena kwa kukazia, mpaka leo yuko kwa baba yake alipofufuka akaenda kuishi kwa baba yake hajaondoka sasa iweje mimi niondoke kwa baba. Watu wengine mnasoma maandiko lakini hamuyazingatii.
Daaah. Umenichekesha sana. Hiko kiswahili chakoMwanangu, Mshikaji wangu Mnazareti mpaka leo miaka zaidi ya 2000 anaishi kwa Mshua wake..sembuse mie 30 tu?
Sio hawazingatii. Bali pia hawayaelewi maandiko ya Mwenyezi MunguTena kwa kukazia, mpaka leo yuko kwa baba yake alipofufuka akaenda kuishi kwa baba yake hajaondoka sasa iweje mimi niondoke kwa baba. Watu wengine mnasoma maandiko lakini hamuyazingatii.