Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,397
- 69,148
Jitahidi achomoe angalau hata 40Daaaa unakwepaje yote haya 51 ?
Jitahidi achomoe angalau hata 40Daaaa unakwepaje yote haya 51 ?
Ndoa za Gen Z zina formulaNdoa hazina formula malum kwakuwa ni mahusiano ya wawili wenye uhai.. ! sio vitu Yabisi
Za Gen Z zina formula wanajitambua Vibaya mno wako sharpNaunga mkono hoja.... Jana nimeona documentary ya jamaa alifungwa bahamas kimakosa miaka 6 akaachiwa kawashitaki akashinda dola milion 1.1 wakilia akatoa yake akabaki na kama dola laki 7. Jamaa ni mkenya kakaa huko miaka 23 akitafuta maisha... Ile ela akawambia home fungua akaunti joint mama na dasa yake wa mwisho kisha akaihamishia humo ili arudi aikute. Huwezi amini mama yake na dada yake wameipiga hiyo pesa.
Jamaa amerudi wamemtelekeza akienda wadai wanamwitia polisi. Ana maisha magumu mno wao wamenunua magari na majumba ile story imeniuma sana
Mbona haishi kwa hofu Huyo ni High value man simps hamuwezi kumuelewaUkiishi kwa hofu kiasi hiki, bora ukae peke yako tu kiongozi.
Ahahah kwanini mkuu?Kuwa makini sana
Ujiite high value man wakati kigezo chako cha mke bora ni mwanamke asiye msomi wala asiye kuwa na maisha.Mbona haishi kwa hofu Huyo ni High value man simps hamuwezi kumuelewa
Hahaha
Au NASEMA UWONGO NDUGU YANGU??Hahaha
Furahia maisha mkuu maisha kunawatu mioyo yao ni kutoa pasipo kujaki hadhi au jinsia yakeAaahhh siwezi kabisa nashindwa yani siku hizi siwezi.
Miezi kadhaa nikam date single mother mmoja hivi,she is well of, aisee sijui ule ulikua mtego au vipi, ila alipoona nazikataa sana issue za pesa zake directly, akaanza kuzileta mfumo wa vijizawadi vya hapa na pale.
Nikampiga chini
Uko sahihi kiasi fulaniAu NASEMA UWONGO NDUGU YANGU??
Jibu la yote hayo ni moja tuuhUko sahihi kiasi fulani
Umekula kiporo gani leo?Achaneni na wanawake ninyi!
It’s 2026, being a gay is almost legal.
Ndoa ni utapeli kama waliooana ninmatapeliJibu la yote hayo ni moja tuuh
KATAA NDOA ,
Ndoa ni wizi
Ndoa ni utapeli N.k