Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,402
- 1,835
Mkuu kulikua pia na zile PIPI NYEUPE,zilikua kama flat hivi hazikua na umbo la duara.Dah!umenikumbusha mbali sana,miaka ileeee,enzi za mwalimu (80's)kulitokea uhaba wa sukari tulizitumia sana hizo kama m~badala wa sukari.
Ila JF ina wazee wa kutosha si haba.Dah!umenikumbusha mbali sana,miaka ileeee,enzi za mwalimu (80's)kulitokea uhaba wa sukari tulizitumia sana hizo kama m~badala wa sukari.
Mkuu kulikua pia na zile PIPI NYEUPE,zilikua kama flat hivi hazikua na umbo la duara.
Enzi zetu tulikuwa tunaziita banzokaGoody goody, biskuti za muhogo, Big G, ......et al
Hahahaaa! Sawa kabisa Mkuu.Pipi kidonge
Yalikua yanaitwa Maduka ya ushirika,siku ikija Sukari full kupanga foleni,halafu unalazimishwa ukinunua Sukari lazima ununue na mchi wa sabuni ya Ilula.Wazee kumbe tupo wengi humu.
umenikumbusha nilichukua pesa mezani na kwenda kwenye maduka yale ya serikali enzi hizo nikapewa kopo zima la pipi nikanywa zikanikifu nikatupa na kufuta mdomo kisha kwenda home. sijui ile hela waliikumbuka ama ndo ili-go and water
Ni bazoka Mkuu.Enzi zetu tulikuwa tunaziita banzoka
Nchi imetoka mbali aiseee, toka kwenye kupanga mstari kununua sukari, mafuta ya taa, mafuta ya kujipaka, sabuni hadi kufikia hatua ya kujisavia mahitaji mlangoni.Yalikua yanaitwa Maduka ya ushirika,siku ikija Sukari full kupanga foleni,halafu unalazimishwa ukinunua Sukari lazima ununue na mchi wa sabuni ya Ilula.
Unailamba kidogo unampatia na rafiki yako wa karibu anaonja halafu unamlaum kwa kuibugia nzima. akiwa na kamasi unamwambia atoe kwanza!lawalawa au peremende