nerilan
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 416
- 606
Zilikuwa kama kidonge ila zenyewe kubwa. Zilikuwa na ladha fulani hivi amaizing kama glucose vile. Ha ha haaaa. Mkuu umenikumbusha mbali sana.Mkuu kulikua pia na zile PIPI NYEUPE,zilikua kama flat hivi hazikua na umbo la duara.
Vipi, zile goody goody unazikumbuka?. Zilikuwa ni jamii ya tofi, ziko nyembamba kama batook hivi ila zilitengenezwa kwa maziwa kama sikosei. Zamani raha sana aisee