Nafarijika sana nikiona vijana hadi muda huu mnashugulisha akili zenu (pamoja na ukweli kwamba wengi si wanafunzi) Siku nikikuta jamvi limekauka hasa mida ya usiku (kwa saa za madafu) huwa nawaza labda Fijana wanatesti nguvu sa Morani ati
umeshalala sasa?....yaani ungeanzisha hata topic tuchangie au ndo zimepeperuka zote kichwani..ok poa tupo,ila sijui umenionea BaK jukwaa gani..yaani anakojibujibu watu mana simpati,ukimuona niambie...
Nimejiwekea utaratibu wangu ambao nimeuheshimu tokea nikiwa mtoto mdogo,nikawa kijana na mtu mzima...
Napenda sana kujisomea na kupata maarifa mapya kiasi kwamba wakati mmoja niliwahi kuwaza kutengeneza mazingira kwenye (then mji wangu) kwamba si watu wote wakija kwangu watakuwa interested na story zangu (verbal ) wenye interest ya kusoma wanaweza kujipa raha wenyewe na wenye interest ya kuperus as well
Itakuwa pouwa sana....how far have you reached up to now?
mpaka kuchee nipo kwa hewa mkuu, wew tu ckuoni..!!
so what do you normal do for funInatakiwa mkuu coz kesho natakiwa kazini....ila macho ndo hayo hayana ucngizi
Sina hakika kama jibu langu ni sahihi kwa mahitaji ya swali lako ila kama ulimaanisha kitaaluma nina shahada ya Usanifu Majengo ( Bachelor of Architecture) advance PCM na Olevel nkipiga masomo saba ya arts plus Physics,Chemistry na Agriculture!
we si unataka ku chat..! Basi tizama por*n
Njema, karibu mkuu!
may be am sick, let me follow the link...!