kama uko free mida hii.....tuchati

kama uko free mida hii.....tuchati

Poua laten mineno maana leo nipo tanga raha na nimeambiwa darasa la mapenz lipo huku ila kimtazamo wangu naona ni uongo jaman hakuna kitu hadi sasa kweupee hakuna hata mtu road

Wapo kanisani mkuu...wameokoka wote!
 
Ni nipo ugenini mkuu naogopa watoto wa kitanga napata sifa zao si nzuri hawatumii airtel ni line zote hasa tigo sheh wangu nami natumia line moja tu
 
Ni nipo ugenini mkuu naogopa watoto wa kitanga napata sifa zao si nzuri hawatumii airtel ni line zote hasa tigo sheh wangu nami natumia line moja tu

Kwa hiyo network inazingua au.....!?
 
Nafarijika sana nikiona vijana hadi muda huu mnashugulisha akili zenu (pamoja na ukweli kwamba wengi si wanafunzi) Siku nikikuta jamvi limekauka hasa mida ya usiku (kwa saa za madafu) huwa nawaza labda Fijana wanatesti nguvu sa Morani ati
 
Back
Top Bottom