Kama uko above 30 huna mke/mume wala mtoto we ni masikini tu

vijana wazamani walikuwa sio wazembe ila walipewa stadi za maisha na wazazi wao,nadhani wazazi wa siku hizi kuna mahali wanakosea kuwaandaa watoto wao ususani wa kiume kupambana ,mjini hakuna mashamba ila shamba la mjini ni mipango kichwani,mjini kuna fursa nyingi zaidi ya kijijini,biashara,michezo,sanaa,vibarua,elimu nk
Tatizo watu wamejengwa kuamini kwenye fedha badala ya mipango ya maisha ambayo mwisho wa siku itakuwa maisha ambayo ni mazuri na ndio maana unakuta mtu akiwa hana ela anakuwa mwehu wakati kama una mipango mizuri hata kama ela kwa kipindi hicho zimekata lakini kuna issue za msingi unakuwa umeziweka sawa zinaendelea huku unapalangana
 
Tujifunze kupitia mimea,mmea ukiwa shambani na ukafikia wakati wa kuzaa matunda usipozaa,hufanywaje,km si kukatwa na kutupwa,hata yesu kwe biblia aliulaani mtini uliokuwa hauna matunda il hali ulikuwa ktk umri wa kuvaa,hv ukiwa kwe umri huo na hauna mke/mume hauna mtoto,wala nyumba,u r noting,ww ni kitu cha hovyo kabisa,labda iwe kuna jambo kubwa sn linalozuia hivo,mf nadhiri nk
 
Yaani umenikumbusha mbali, nilikaelewa vizuri sana lakini pia wakati kijana ukitolewa nje kuishi ulikuwa na kishamba chako cha kulima hahahahaa ndio maana zamani vijana walikuwa sio wazembe, bila shaka mkuu wewe haka kamfumo umesimuliwa tu, mimi nimekashuhudia kabisa wakati nakua.

nmesimuliwa?!! Nilikuwa na kajumba kangu kalikuwa ka mianzi mpaka leo hii ile sehem nilyokuwa nmejenga hako kakibanda nilipanda mti wa kokoa ili iwe kumbukumbu...

Mkuu mm nakuambia kweli kuna watu kipindi hawajaoa maisha yalikuwa magumu mno lakn baada ya kuoa maisha yapo safi kabisa. Mtu ambaye hajaoa walio wengi bajeti zinawasumbua wanaendekeza starehe kujirusha night club kila siku lakn ukioa hayo mambo lazma uyasahau.

Vilevile kuna wanawake wana nyota zao.. Ila jambo la kuzingatia ni ktk uchaguzi wa mwenza. Kuna wanawake wanaijua hela vzr yaana anaibajet mpaka mwanaume unaona rahha.
 
Miaka 30 kuishi nyumbani yaani nyumba inakuwa na akinababa wawili sio vizuri guy's wake up.
 
@mdukuz, umeandika jambo la msingi sana. Kijana una miaka 30 eti unapanga unapanga foleni kwa wazazi wako, siyo vizuri vijana wenzangu tubadilike tusiwe tegemezi tusikimbie majukumu. Mm mwenenyewe niliwaza kama mnavyo waza nyie. Ilifika kipindi nikakuta sifikii lengo nililokuwa nataka. Ikanibidi nioe kitendo cha kuoa tu nikakuta mambo yangu yanaenda vizuri kwa kazi hii ya kaida. Kuwa na watoto ni baraka lakini kuoa ni lazima, siyo kijana ufikishe miaka 30 hujaoa utakuwa hujaitendea haki yako.
 
He is above 30 and he is still searching for someone who is smart and perfect atakaemwelewa yeye na family yake,ofcz he is wealthy hana mtoto hata wakusingizia namshangaaga!!!
Waswahili wanasemaga mchagua nazii....
Na wazungu wanasemaga No one is ......
 
Bottom line is wanaume siku hiZi hawataki kuoa na wanawake they are forgeting their true worth....... Hayo mengine yote sijui kujipanga or whatelse ni visingizio tuuu
 
Back
Top Bottom