KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
- Thread starter
- #41
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.
Hapa tatizo sila mwanamke hapa tatizo nila mwanaume aliyempa ujauzito na kumtelekeza!!inamaana hapa nimesema hivyo kwakuwa kwenye reseach zangu nimekutana na mabinti wenye hali kama hizo na ukimwuliza anakwambia sina njia nyingine yakupata pesa!!nafanya hivikwa ajili ya shida na hapa nilitegemea watu watazungumzia chanzo cha tatizo lakini inaelekea wengi waliokutana na maswahiba haya wamewatendea siyo haki wale watoto!!mimi ninacho waomba wanjamii ukiona umepatwa hali kama hii msaidie yule binti na wala usifanye naye tendo hilo!