Kama ukitongoza mwanamke kumbe ana mtoto!?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,457
8,294
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
 

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,166
722
Yeye hakukijali kichanga chake we utakijalije endeleza makamuzi
 

ChiefmTz

JF-Expert Member
Apr 15, 2008
2,926
912
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
Kwani kichanga kinazuia nini
 

Kiraka

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
3,823
3,051
Kwahiyo wewe unakuwa kama mwenzio makamuzi mbele!!well noted

Ni vizuri sana ukahakikisha huyu mwenzio mabyere yamemtoka na hiki kichanga japo mkilaze pembeni, manake naona kama kuna dalili ya murder case hapo, kama mtakilalia!!:teeth:
 

Henge

JF-Expert Member
May 14, 2009
6,933
1,509
For the sake of the child mimi naona vizuri ukaachana naye!
 

Shauri

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
800
447
Habari wana jamii
mh inaonekana huyu jamaa yamemtokea ?ila ingekuwa mimi ningekula mzigo kama kawa
 

Mama Mourinho

New Member
Nov 25, 2010
3
0
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.
 

Maamuma

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
849
303
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.

Hapo kwenye red Mama Mourinho umenichanganya. Unaongelea utu halafu unatoa wito wa kumpiga mangumi. Nishike lipi?
 

GFM

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
706
6
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.
MM mona miezi miwili n mingi? mie nasikia ati arobaini tu zatosha! au mie nimedanganywa
hapo? Afu kwani ukipiga gemu kuna tatizo gani kama mtoto lishe yake (maziwa) anapata?
 

GFM

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
706
6
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
Afu mkilianzisha hapo lazima junior ataibuka tu kutafuta hoteli. Ila nlishawahi msikia dada mmoja akisema ati kila akinyonyesha huko chini kunapwita aka anajisikia ku-do. Sasa kama huyo nae yuko hivyo, basi hapo
ngoma inogile maana junior ananyonya na wewe unasokomeza hapo ni spoon style tiu ndio inafaa. ...... LOL.......(Angalizo, hapa matiti mali ya junior .....hahah)
 

Brandon

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
336
5
MM mona miezi miwili n mingi? mie nasikia ati arobaini tu zatosha! au mie nimedanganywa
hapo? Afu kwani ukipiga gemu kuna tatizo gani kama mtoto lishe yake (maziwa) anapata?

Miezi 2 MINGI SANA. MI NILIANZA KU DO NA MR WAKATI KICHANGA KINA 3weeks.
 

ZeMarcopolo

JF-Expert Member
May 11, 2008
14,011
7,192
Hapo inabidi ujiulize. Kama hakukupa taarifa za kuwepo huyo kichanga, je kuna vingapi huvijui; ingia mitini kisailensa!
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom