Miezi 2 MINGI SANA. MI NILIANZA KU DO NA MR WAKATI KICHANGA KINA 3weeks.
Do hapo mlimbemenda ..............Miezi 2 MINGI SANA. MI NILIANZA KU DO NA MR WAKATI KICHANGA KINA 3weeks.
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.
Miezi 2 MINGI SANA. MI NILIANZA KU DO NA MR WAKATI KICHANGA KINA 3weeks.
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
uyu mdau apa si mr wake KUMBUKA.
do hapo mlimbemenda ..............
duh! Nyie lazima wanajeshi!
My Concerni iweje uparamie mtu usiku huohuo humjui halafu unataka ngono straight a way! hayo jamani yamepitwa na wakati. Badilikeni.
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
Umegharamia then wewe nimpita njia unataka kutoa ukakasi!tu