Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia ? kama sio hivyo basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo.

Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya walio hai ?
 
Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia ? kama sio hivyo basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo.

Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya walio hai ?
Nadhani umekariri ama umekaririshwa
Ukifa huendi mbinguni bali mwili wako hubaki kaburini. A roho yako huanza safari Into the vast eternity
Kifo ni mwanzo sio mchakato
 
Binadamu anataka kujipa u special kwamba yeye ni bora sana kuliko wanyama wengine.

Anataka akifa apate maisha mengine yeye peke yake, wakati wanyama wengine wote wakifa wanaoza wala hawaendi popote pale.
 
Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia ? kama sio hivyo basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo.

Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya walio hai ?
Kuna Sheikh mmoja aliniambia kwa jinsi sisi binaadamu tulivyo na roho mbaya na ubinafsi ,tungekuwa tunajua 100% peponi ni raha ya kufa mtu hakika tusingeambiana tutende mema na kumtumikia Mungu ili tuende peponi lazima tungebaniana ,hatuna uhakika ndiyo maana tunaambiana kinafiki.

kama mambo madogo tu ya kidunia ambayo hafafiki raha hata chembe za peponi tunabaniana iweje tutakiane mema ya peponi? Mbona misikitini /makanisani hawatangaziani michongo kama wanavyofanya kwenye mawaiza?
 
Nadhani umekariri ama umekaririshwa
Ukifa huendi mbinguni bali mwili wako hubaki kaburini. A roho yako huanza safari Into the vast eternity
Kifo ni mwanzo sio mchakato
source? trust me broo

Hakuna maelezo ya kimaandiko au kiushahidi nani uliona roho yake inasafiri ? mkuu upo serious roho inasafiri

unajua maana banadamu ni nini hebu soma kitabu cha mwanzo cha uumbaji kisha kasome na sayansi hivyo vitu vya kusafiri kwa roho umetoka navyo wapi ?.

mimi nina fact binadamu ni damu na nyama sio kiumbe wa roho, hata yesu alivyo uvaa ubinadamu alikwenda mbinguni na mwili wake, soma na kisa cha lazaro aliye fufuliwa na yesu je yesu alisema alisemaje kuhusu kifo alisema amelala lazaro amka kutoka kaburini inamaana mtu akifa anabaki kanurini haendi kokote. yesu alisema lazaro amelala kaburini akimaanisha ni kifo ni usingizi.

Soma biblia mkuu wangu acha kukalilishwa uongo
 
Kinachotuliza ni kile ambacho tutakikosa tulichokua tunakipata kwa mpendwa wetu.
Ndio maana Kuna pengo linalozibika na pengo lisilozibika
Unajua walio mbinguni wanaweza kuja duniani kama ameenda mbinguni mngemuona akiwajia kama malaika lakini mbinguni sio sehemu ya wafu ili mtu aende mbinguni lazima awe kiumbe hai.

yesu ni mfano alienda mbinguni akiwa hai
 
Back
Top Bottom