Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia ? kama sio hivyo basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo.
Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya walio hai ?
Nendeni makaburini mkawaangalis kama wamefufuka na hawapo makaburini ? kama wapo.basi ni.uongo mmedanganywa kwani mbinguni ni sehemu ya wafu au ya walio hai ?