Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

Tuliambiwaga mbinguni ni juu kulee mawinguni, sasa ndege za Warusia na waamerika zinapita huko....hazijawahi kuona mbingu.....Watu tunapaswa tuambiwe ukweli inakuwaje tunazikwa ardhini halafu tunapaa? Au ndiyo hao UFO?
Utapeli n mwingi mno 😂
 
Kila mtu anataka kwenda mbinguni, lakini hakuna anayetaka kwenda sasa hivi.
 
OK naona umeangalia kwa upande mmoja tu wa imani bila kujua ya kwamba dunia Ina imani zaidi ya moja
Kwa Wakristo ni very simple kwakuwa sehemu kubwa tunapaswa kuamini na ndio maana tuna kitabu kimoja kikuu BIBLIA
Kwenye imani zingine kuna volumes and volumes ya maandiko na wamechambua kila kitu kidogo katika ukubwa wake!
By the way roho ni nishati (energy) Tafsiri ya energy kiingereza Energy cannot be created or destroyed rather it can be transformed into other forms
Uhai wetu uko kwenye pumzi ambayo ndio energy ama roho! Kiimani kwenye ukristo Mungu aliumba mtu..( natufanye mtu kwa mfano wetu..) Kisha akampulizia pumzi ya uzima hiyo ndio nishati sasa.. Ikiachana na mwili hakuna uhai tena
Mimi ni Mkristo nimeokaka na nampenda Kristo lakini sijaacha kusoma imani zingine zilizonifunulia mengi sana!
sijakupa fact ya ukristo tu nimekupa na sayansi kifo ni usingizi ni sawa na kulala kwasababu hauogi hauli damu inaganda kisayansi hapo mwili huaribika lakini wewe unakuwa umelala ndio kifo.

Inamaana unategemea mtu akifa anenda kuzimu inamaana hafi hebu jaribu kufikiria nje ya box fuata fact sio imani na hisia nini mwisho wa mtu kama akifa ni bado anaishi kuzimu what's next ? je binadamu ni nani ? ni vitu gani vinamfanya aitwe bindamu

mkuu wangu mimi nakuambia fact sio hisia sasa fanya kufikiria nje ya box nenda ukapitie upya ujue binadamu ni nani na ameundwa na nini hizo dhana za kwenda kuzimu hayupo aliye wai kwenda huko hakuna fact vipi kama ulidanganywa utajuaje ? fuata fact mkuu wangu kwa hapo umeniangusha sana great thinker.

Unaamini kwenye nothing?
 
Back
Top Bottom