Kama ujumbe kwenye kamati tu imekuwa kimbembe, vipi Zitto angeteuliwa Waziri?

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
Kama ujumbe kwenye kamati tu imekuwa kimbembe, vipi Zitto angeteuliwa Waziri?


source majira
 
Lakini na Zitto asipewe misifa sana...maana tunawaonaga wengi kama yeye lakini wakishalamba nafasi nyeti wanazimikaga kama kibatari kilichokwisha mafuta. Ngoja tuone kazi zake kwani ameanza kupewa meno ya kuanza kutafuna nyama, sasa tutaona kama atatafuna kwa meno yake au ataomba nyama isagwe ili ameze kiurahisi. Tumuombee sana..lakini tusianze kumvisha masifa sana. Kwani kuna aliyetegemea anayoyafanya Kikwete ssa hivi?
 

Tundu Lissu hajawahi hakugombea ubunge 2005 kama mwandishi wa makala hii anavyojaribu kudanganya. Mwanakijiji huyu jamaa ameweka namba yake; hebu fanya naye mahojiano. Kuna mtu ana maswali yoyote ambayo angependa huyu jamaa aulizwe?

I miss u all

Asha
 
huyo mwandishi kauliza swali lisilo na mantiki zaidi. Zitto hawezi kuteuliwa kuwa Waziri as long as yuko Upinzani. Hakuna mpinzani ambaye atapewa Uwaziri zaidi ya wanachoweza kupewa "Unaibu". Why?

Kwa sababu Uwaziri siyo Kamati ya Siasa! Uwaziri ni cheo ambacho kina sheria zake kina nguvu zake n.k Hivyo mtu kama Zitto kwa mfano akipewa Uwaziri wa Madini, ana nguvu kwa mujibu wa sheria ya madini na sheria inayoongoza ofisi yake. Atakuwa na uwezo wa kuamua mambo ambayo sasa hivi hana; atakuwa na uwezo wa kwenda mahali popote na kutaka taarifa zozote kutoka chini yake ambao sasa hana; sasa ukiniuliza mimi, Zitto akipewa Uwaziri watu watafurahia na kushangilia; nitakuwa mmoja wao.

As long as usiwe Uwaziri wa Mambo ya Siri na Mahusiano ya Mafisadi!
 
Kikwete hana ubavu wa kumpa zitto uwaziri. Mwinyi alikuwa na nafasi kubwa ya kufanya hili kuliko Kikwete. Na ikitokea amempa zitto uwaziri basi atakuwa amejipiga bonge la bao kwa sababu zitto ni very unpredictable na usishangae video clips za Kikwete akisaini mikataba au kupanga mipango ya kifisadi zikiweka bongoradio na hapa JF.

Of all pple, Kikwete hawezi kutoa mafisadi kwenye baraza lake maana yeye naye ni fisadi tu.
 

Nakubaliana nawewe katika hili kwani mpaka sasa akili yangu bado huwa haikubaliani na ukweli kwamba NK bado ni waziri pamoja na so la wazi la BUZWAGI!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…