Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Huu ni utapeli wa Fikra,
Watanzania tumetapeliwa Mawazo hapa, haiwezekani ugonvi Binafsi ukafanywa wa Tasnia.
Makonda alivamia Chombo cha Habari, Leo watatuletea vipi usuruhishi wa Watu? angevamiva Ruge si wangetwambia ni Ruge ndio kavamiwa sio Clouds,
Aibu sana
Watanzania tumetapeliwa Mawazo hapa, haiwezekani ugonvi Binafsi ukafanywa wa Tasnia.
Makonda alivamia Chombo cha Habari, Leo watatuletea vipi usuruhishi wa Watu? angevamiva Ruge si wangetwambia ni Ruge ndio kavamiwa sio Clouds,
Aibu sana