Kama tarehe 01 January ni siku ya mwaka mpya, kwanini mwaka wa serikali uwe 31 July?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Tarehe 01 January Kila mwaka dunia nzima tunasherehekea sikukuu ya mwaka mpya.
Serikali yetu inatambua uwepo wa sikukuu hii ya mwaka mpya ndio maana imeamua iwe ni siku ya mapumziko.
Kwanini serikali isianze mwaka wake wa fedha tarehe 01 January na badala yake inaanza 01 July?
Je huo mpango wa 01 July Nini chimbuko lake?
 
Tarehe 01 January Kila mwaka dunia nzima tunasherehekea sikukuu ya mwaka mpya.
Serikali yetu inatambua uwepo wa sikukuu hii ya mwaka mpya ndio maana imeamua iwe ni siku ya mapumziko.
Kwanini serikali isianze mwaka wake wa fedha tarehe 01 January na badala yake inaanza 01 July?
Je huo mpango wa 01 July Nini chimbuko lake?
Naona utaratibu huu tutakuwa tumeurithi kwa wakoloni.

Kumbuka kipindi cha mabunge ya bajeti huwa yafatana kwa nchi za Africa mashariki
 
Mabeberu (Wakoloni) Ndiyo Wametuachia Utaratibu Huo
Nadhani Awamu Hii Ya Tano Ibadili Huu Utaratibu
 
Tarehe 01 January Kila mwaka dunia nzima tunasherehekea sikukuu ya mwaka mpya.
Serikali yetu inatambua uwepo wa sikukuu hii ya mwaka mpya ndio maana imeamua iwe ni siku ya mapumziko.
Kwanini serikali isianze mwaka wake wa fedha tarehe 01 January na badala yake inaanza 01 July?
Je huo mpango wa 01 July Nini chimbuko lake?
Hadi umefika umri huu hujui basi utajulia kaburini

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani muasisi wa mfumo huu? Kwanini wasingeanza financial year mwezi January?
Huyu atakuwa mkoloni Germany na Muingereza kuundeleza tu huu taratibu.

Pia itakuwa kuna malengo walikuwa nayo hakuna kitu kimefanywa bila malengo kwa upande wao.

Tukune vichwa tupitie historia au kwa wanaolijua hili vyema watuwekee wanachokijua.

Cc@Malcom Lumumba
 
mtoa mada rekebisha mada yako.! 1 January sio mwaka mpya kwa kila nchi duniani kote, China na baadhi ya nchi za Asia wanatumia kalenda tofauti na sisi na mwaka mpya wa China ni mwezi wa 3 kwa nchi zetu.
 
Tarehe 01 January Kila mwaka dunia nzima tunasherehekea sikukuu ya mwaka mpya.
Serikali yetu inatambua uwepo wa sikukuu hii ya mwaka mpya ndio maana imeamua iwe ni siku ya mapumziko.
Kwanini serikali isianze mwaka wake wa fedha tarehe 01 January na badala yake inaanza 01 July?
Je huo mpango wa 01 July Nini chimbuko lake?

Tanzania is secular state, is neutral to matters of religion. The current counting of years is referred to After Jesus. Ni miaka baada ya kuzaliwa Yesu kristo. So the state has its own counting which is also built under economic, social and political interests.
 
Nani muasisi wa mfumo huu? Kwanini wasingeanza financial year mwezi January?
Nchi zetu hutegemea uchumi wa kilimo .Mavuno ya kilimo sehemu nyingi huanzia Mwezi wa Saba ndio huwa wa mauzo ya mazao Sana nje ya nchi na ndani .Kwa hiyo mwaka mpya huanzia hapo
 
Tarehe 01 January Kila mwaka dunia nzima tunasherehekea sikukuu ya mwaka mpya.
Serikali yetu inatambua uwepo wa sikukuu hii ya mwaka mpya ndio maana imeamua iwe ni siku ya mapumziko.
Kwanini serikali isianze mwaka wake wa fedha tarehe 01 January na badala yake inaanza 01 July?
Je huo mpango wa 01 July Nini chimbuko lake?
Lakini unajua mwaka wa serikali wa kulipa kodi ya mapato huanzia Januari na kuishia desemba ya kila mwaka ,lakini tozo zingine huanza julai,pia tunajua taasisi mbalimbali zinakuwa na muda tofauti kama financial period zao na zinaweza kuanza tarehe yoyote na kuishia tarehe yoyote,kiasili kabisa mwaka unatakiwa ufuate mwezi tunaouona halo juu,ukiandama,ukipea na kuingia gizani,huo ndio wenye siri kubwa za kimaumbile,tusiziozijua na zinazoathiri maisha yetu ya kila siku,hata kuzaliwa ,kukua,kuugua,kufanikiwa ,kupoteza,na hata kufa.huo ndio wenye majira yaani masikaupepo,kiangazi,mwenendo wa viumbe wa baharini na ndege wa angani hutegemea mwezi tunaouna.ndugu calender au financial year ni subjective tu yasikutishe!
 
Lakini unajua mwaka wa serikali wa kulipa kodi ya mapato huanzia Januari na kuishia desemba ya kila mwaka ,lakini tozo zingine huanza julai,pia tunajua taasisi mbalimbali zinakuwa na muda tofauti kama financial period zao na zinaweza kuanza tarehe yoyote na kuishia tarehe yoyote,kiasili kabisa mwaka unatakiwa ufuate mwezi tunaouona halo juu,ukiandama,ukipea na kuingia gizani,huo ndio wenye siri kubwa za kimaumbile,tusiziozijua na zinazoathiri maisha yetu ya kila siku,hata kuzaliwa ,kukua,kuugua,kufanikiwa ,kupoteza,na hata kufa.huo ndio wenye majira yaani masikaupepo,kiangazi,mwenendo wa viumbe wa baharini na ndege wa angani hutegemea mwezi tunaouna.ndugu calender au financial year ni subjective tu yasikutishe!
Well said
 
Back
Top Bottom