Kama taifa tusali Benki ya Dunia itupe $500M

Aliyeandika hizo hela tusipewe ipo siku mzigo wote wa dhambi aliyoifanya atalala na kuamka nayo.
Kuna watu sijui wanafikiri nini
Yupi sasa? Wewe kila siku unatoa kauli kuwa ni tajiri, msaada wa nini sasa? Vitu vingine bwana vinafurahisha!!!
 
Mkuu Tumain El!za kupotea? Ben saanane mzima?ulimfikishia salam zangu?Mwambie mwanae ameshaanza chekechea!!!Kuhusu maombi mi nadhani Rudisheni kwanza damu mliomwaga za watz na roho mlizo ua!!!Kwanini msinge muomba mungu kwanza amuue jiwe halafu tungeepukana na majanga haya!Au we unaonaje?Isalimie familia yako!au wewe huna familia mkuu???
 
Aliyeandika hizo hela tusipewe ipo siku mzigo wote wa dhambi aliyoifanya atalala na kuamka nayo.
Kuna watu sijui wanafikiri nini
Unapo muongelea huyo jikumbe wewe na huyo unae mtetea saizi Tanzania tunaishi tu kila my alishachoshwa na vitimbi mtu anaona anunue ndege Tena kwa cash wakati uku nyuma Ana matatizo kibao hizo ela alizo nunulia ndege ndizo zinge saidia Hilo tatizo eeeh alfu leo tuombee mkopo wakati Alisha sema sisi matajiri nakaisua jizihirisha ivyo tupambane tu na Hari zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapo muongelea huyo jikumbe wewe na huyo unae mtetea saizi Tanzania tunaishi tu kila my alishachoshwa na vitimbi mtu anaona anunue ndege Tena kwa cash wakati uku nyuma Ana matatizo kibao hizo ela alizo nunulia ndege ndizo zinge saidia Hilo tatizo eeeh alfu leo tuombee mkopo wakati Alisha sema sisi matajiri nakaisua jizihirisha ivyo tupambane tu na Hari zetu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna kiongozi anayetokea tu from nowhere. Tusazimishe mambo. Kila kiongozi anakuja kwa wakati wake na sababu zake.
Usaliti hujaanza leo. Tunajua nini alifanya Yuda Iskariote baada ya kufikiria kupata zile hela atakuwa amepiga bingo.
Unajisikiaje kila mtu anaadhibiwa sababu ya kamali za kisiasa?
 
Yupi sasa? Wewe kila siku unatoa kauli kuwa ni tajiri, msaada wa nini sasa? Vitu vingine bwana vinafurahisha!!!

And do you think you are poorer? Kukopa hata US inakopa tena kwa viwango vya kutisha. Hizi shule zetu zitusaidie kufikiria. Naona kama tunakariri tu
 
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma. Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana ktk ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapo enda sokon kununua kiredio cha tsh 5k kwa 20k ndipo utajuwa yapo mambo sio yakufanya utani.

USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutaman kuona WB wanatunyima hiz pesa.

USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500M

ungetupooza kiukweli.
let us pray for this nation
Mkuu kupanga ni kuchagua. Hapo ndipo tunaona kukosekana kwa umakini ktk uamuzi wa kununua midege kwa fedha taslimu, kwa shirika linalojiendesha kwa hasara, huku ktk suala muhimu la elimu tukitegemea misaada ambayo hata kupatikana kwake ni majaliwa tu kutokana na matendo ya watawala wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma. Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana ktk ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapo enda sokon kununua kiredio cha tsh 5k kwa 20k ndipo utajuwa yapo mambo sio yakufanya utani.

USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutaman kuona WB wanatunyima hiz pesa.

USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500M

ungetupooza kiukweli.
let us pray for this nation
WB wanaifahamu tz kuliko wewe, Magu ndiyo kabisa wanaifahamu tangu aingie serikalini. Ni mbinafsi mwizi muongo hatabiliki. Hiyo hella imsubili rais mwingine badala yake siyo huyu asiyejitambua.
Tulishafunga mikanda sijui labda sasa tufunge midomo tu.
 
Mnatafuta hela za uchaguzi tu na kununua mabomu na risasi kutetea ushindi wa dhuluma mliopanga.
 
Badala ya mjikusanye kumuomba Mungu asaidie kumbadili huyo mwenye kiburi cha uzima unaleta hadithi?
Hivi hao viongozi na kiranja wao wangerudi na kutumia lugha ya uungwana kuwa kweli kauli ya Jiwe alipotoka na suala la usawa kwa watoto wa kike litaangaliwa vyema yangetokea haya?
Shida yenu anachotamka huyo mzee basi kwenu ni neno takatifu halihojiwi.
Kiburi chake ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Na hivi vijembe/kejeli bado tutaendelea kuumia. Akili ikishatukaa Watz basi tutajua nn cha kumuomba Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mabeberu wanaotukanwa kila siku wamegeuka malaika mbele ya serekali ya Magufuli kuna uwezekano mkubwa kuwa hali si shwari ndani ya chungu cha mwenye nchi yake.
 
Aliyeandika hizo hela tusipewe ipo siku mzigo wote wa dhambi aliyoifanya atalala na kuamka nayo.
Kuna watu sijui wanafikiri nini

Unalishwa ujinga wa siasa za kitoto na ww unaubeba kama ulivyo. Kama huyo aliyeandika tunyimwe na kweli tukanyimwa, si bora yeye awe kiongozi ili aandike tupewe na tupewe kweli?
 
Kama mabeberu wanaotukanwa kila siku wamegeuka malaika mbele ya serekali ya Magufuli kuna uwezekano mkubwa kuwa hali si shwari ndani ya chungu cha mwenye nchi yake.

Mkuu mbona hilo halina mjadala.
 
Back
Top Bottom