Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Kila siku mnawapiga watukana wakejeli wapinzani kwamba ni watu wa hovyo wajinga hawawezi kufanya chochote na kama wanabisha wajaribu leo barua tu ya zito ya kuomba ka mkopo kadogo kasitishwe mnamaliza maneno yote mabaya kusema je siku wakiamua jino kwa jino mtalia kilio gani? Ccm hebu tambueni kwamba kila mtanzania mmojammoja anamchango mkubwa kwa taifa hili acheni kudharau wengine