Kama taifa tusali Benki ya Dunia itupe $500M

Kama taifa tusali Benki ya Dunia itupe $500M

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,270
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.

Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana katika ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapoenda sokoni kununua kiredio cha Tsh 5k kwa 20k ndipo utajua yapo mambo sio ya kufanya utani.

USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutamani kuona WB wanatunyima hizi pesa.

USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500MUngetupooza kiukweli.

Let us pray for this nation.
 
Mwigulu, endelea kuwatukana mbunge wangu.
Na hao watoto viherehere waendelee kupata mimbaaaaaaaaaaaa

Uwiiiiiiiiiiiii, rais wa wanyonge baba, uwiiiiiiiiiiiiii
 
tumekusikia ndugu, but tutashiriki katika maombi hayo strictly under the following conditions (in no particular order):

- kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi
- taarifa ya waliko kina Saanane, Azory, nk
- kuwajibishwa waliowaua Aquiline, Mawazo, nk
- kuachiliwa bila masharti kwa wanaharakati walioko gerezani kwa kubambikiwa ML cases
- taarifa ya uchunguzi kupigwa risasi kwa Lissu
- kuachiliwa huru kwa wahanga wa vita isiyo na tija kati ya serekali vs Barrick
- watoto wa kike wenye mimba kuruhusiwa kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua
 
Mikopo haitasaidia, inabidi tuongeze exports. Makodi ya hovyo hovyo katika biashara hasa za kuexport inabidi yafutwe. Yaani sisi uchumi wetu hatuna tofauti na binti anayevaa kigodoro, kupaka makeup na kutumia mafilter halafu anajiona mzuri.
 
Badala ya mjikusanye kumuomba Mungu asaidie kumbadili huyo mwenye kiburi cha uzima unaleta hadithi?
Hivi hao viongozi na kiranja wao wangerudi na kutumia lugha ya uungwana kuwa kweli kauli ya Jiwe alipotoka na suala la usawa kwa watoto wa kike litaangaliwa vyema yangetokea haya?
Shida yenu anachotamka huyo mzee basi kwenu ni neno takatifu halihojiwi.
 
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.
Hizi pesa serikal imeziomba WB nipesa ambazo zitatusaidia sana ktk ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapo enda sokon kununua kiredio cha tsh 5k kwa 20k ndipo utajuwa yapo mambo sio yakufanya utani...
USd inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutaman kuona WB wanatunyima hiz pesa.

Usd kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500m ungetupooza kiukweli.
let us pray for this nation

Aliyeandika hizo hela tusipewe ipo siku mzigo wote wa dhambi aliyoifanya atalala na kuamka nayo.
Kuna watu sijui wanafikiri nini
 
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.
Hizi pesa serikal imeziomba WB nipesa ambazo zitatusaidia sana ktk ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapo enda sokon kununua kiredio cha tsh 5k kwa 20k ndipo utajuwa yapo mambo sio yakufanya utani...
USd inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutaman kuona WB wanatunyima hiz pesa.

Usd kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500m ungetupooza kiukweli.
let us pray for this nation
Kwani hizo pesa, zinahitajika?!! Rais ameshasema hii ni nchi tajiri hatuwezi kukopa wakati pesa ipo, kwani kuna habari gani tena, watu wa ajabu kweli hivyo viwanda 4000,mlivyoanzisha bidhaa zake zinauzwa wapi, kama exports bado, ni shida tena imeshuka, utegemee mikopo kwenye balance of payments?!! Uchumi ni hesabu na sio KUJI MWAMBAFICATION!!! Mnatuchanganya sasa which is which?
 
Back
Top Bottom