Kama tabia za Wapinzani ni hizi, bora tusione kabisa Bunge

Nyie wanachama wa CCM acheni upuuzi wenu, zama za ujinga zishapita watu wanajielewa, TBC sio ya CCM, sio Mali yenu,
 
kanone hebu tema kwanza hicho kipande cha seemu za kiume mdomoni na uangalie umeandika nini au kama kimeingia njia ya kutokea subiri kikinywea ndo usome ulichoandika tafazali
 
Duuu hata civics ya kidato cha pili huikumbuki.


Mi naona bora wafunge kabisa kituo cha tv ili kubana matumizi.
 
Nimeshangaa kuona wabunge wanapoteza muda kujadili hili swala. Kwa wananchi wa kawaida hii siyo issue muhimu. Kama serikali imesema inataka kubana matumizi nilidhani waheshimiwa wabunge wangeunga mkono.

Wengine watasema ni haki ya wananchi kufuatilia mijadala na mimi naungana nao lakini je serikali si imesema TBC watarecord na kutuonyesha baadae? Kwanini wabunge wapigane? Ama kuna agenda za siri ambazo wengine hatuzijui?

Mimi ni mtanzania ninayefuatilia mabunge mengine hasa ya nchi zilizoendelea kama Uk. Wenzetu wana live coverage ya nusu saa mara moja kwa wiki na ni siku ya jumatano kuanzia saa sita mpaka saa sita na nusu. Na hii ni siku maalum ambapo Waziri mkuu anapata kipindi kinaitwa PRIME MINISTE'S QUESTION. Zaidi ya hapo labda kuwe na suala muhimu na dharula na hii ni nchi tajiri ambayo wananchi wanalipishwa kitu kinaitwa TV LICENCE. Ambao kimantiki wakiwa na mawazo kama yetu wanahaki zaidi ya kudai kuona kila kitu live maana wana ifund tv yao siyo sisi tunalipa in direct.

Cha msingi wabunge wangeisukuma serikali ikusanye mapato zaidi na hata waishauri ianze kulipisha kila mtu mwenye tv awe na leseni. Hapo kuwe na kitu kinaitwa channel ya bunge kama uk bbc parliament.

Zaidi ya hapo sioni kama serikali imekosea na tujue RAIS KASEMA AWAMU YAKE NI YA KUBANA MATUMIZI YA SERIKALI KAMA TUMESHANGILIA MAWAZIRI KUNYIMWA SAFARI ZA NJE TUSHANGILIE NA SISI KUNYIMWA LIVE COVERAGE YA BUNGE.
Kama issue ni kubana matumizi mawaziri wote watume Magari ya rava4 kama Rwanda pia mbio za mwenge zifutwe, Serikali ihamie Dodoma maana wafanyakazi wengi wanapoteza mda mwingi kwenye foleni.
 
Kwahiyo unadhani Waingereza wanaangalia BBC tu?Nina uhakika pia kule kwa Obama unaijua CNN News tu!pole sana.
Nimesema BBC sababu bbc kwa UK ni kama TBC kwa Tanzania mara zingine uwe unasoma kwanza msg yako kabla ya kupost ili ilete maana ama sivyo wewe na wale waliokuwa wanadwki barabara ya vumbi hutatofautiana nao.
 
Kwanza kabisa kafute ungumbaru wa kuandika in all caps.

Pili, moja ya kazi ya wabunge ni kuhakikisha wananchi wanapata habari, wanapata habari sahihi na wanapata habari haraka.

Hiyo inahusisha live coverage.

Tawala za kiimla zina tabia ya kukataa live coverage, kwa sababu hazitaki ukweli ujulikane.
 
Nimeshangaa kuona wabunge wanapoteza muda kujadili hili swala. Kwa wananchi wa kawaida hii siyo issue muhimu. Kama serikali imesema inataka kubana matumizi nilidhani waheshimiwa wabunge wangeunga mkono.

Wengine watasema ni haki ya wananchi kufuatilia mijadala na mimi naungana nao lakini je serikali si imesema TBC watarecord na kutuonyesha baadae? Kwanini wabunge wapigane? Ama kuna agenda za siri ambazo wengine hatuzijui?

Mimi ni mtanzania ninayefuatilia mabunge mengine hasa ya nchi zilizoendelea kama Uk. Wenzetu wana live coverage ya nusu saa mara moja kwa wiki na ni siku ya jumatano kuanzia saa sita mpaka saa sita na nusu. Na hii ni siku maalum ambapo Waziri mkuu anapata kipindi kinaitwa PRIME MINISTE'S QUESTION. Zaidi ya hapo labda kuwe na suala muhimu na dharula na hii ni nchi tajiri ambayo wananchi wanalipishwa kitu kinaitwa TV LICENCE. Ambao kimantiki wakiwa na mawazo kama yetu wanahaki zaidi ya kudai kuona kila kitu live maana wana ifund tv yao siyo sisi tunalipa in direct.

Cha msingi wabunge wangeisukuma serikali ikusanye mapato zaidi na hata waishauri ianze kulipisha kila mtu mwenye tv awe na leseni. Hapo kuwe na kitu kinaitwa channel ya bunge kama uk bbc parliament.

Zaidi ya hapo sioni kama serikali imekosea na tujue RAIS KASEMA AWAMU YAKE NI YA KUBANA MATUMIZI YA SERIKALI KAMA TUMESHANGILIA MAWAZIRI KUNYIMWA SAFARI ZA NJE TUSHANGILIE NA SISI KUNYIMWA LIVE COVERAGE YA BUNGE.
Ni Tanzania pekee ambapo Harusi inarushwa "LIVE" kwenye Television ya Taifa lakini Bunge linakua "Recorded". Ni Tanzania pekee ambapo serikali inazuia Bunge kurushwa LiVE kwà hoja "dhaifu" ya kubana matumizi wakati uchaguzi Zanzibar unarudiwa kwa Shilingi Bil 9. Ni Tanzania pekee ambapo Polisi wenye Mbwa wanaingia Bungeni kudhibiti Wabunge lakini wahujumu uchumi wanabembelezwa kwa kupewa miezi miwili. Nadiriki kusema serikali ya JPM ni ya "hovyo" kuliko serikali zote zilizowahi kutokea duniani. #Shame_Indeed.!
 
Mleta mada elewa kuwa kila jamii na mahitaji yake,wakati wamisri wanalala barabarani kwa kupinga bei ya kupanda
Kkwa mkate sidhani kama hilo linaweza kkutokea Tanzania, wakat wafaransa wanatishia kuingia mtaani kuaandamana kupinga waziri mmoja kumpandisha mwanae kwenye ndege ya serikali wakidai naye alipe nauli kama sisi na wakipinga matumizi mabaya ya madaraka, sidhani kama hilo linaweza kutokea TZ, na kesho yake waziri akaenda kulipa ili kunusuru ajira yake.kuilinganisha TZ na nchi za ulaya nahisi uelewa wako ni finyu.
Huoni kama una support post yangu indirectly?
 
Asante kwa kujibu kwa fasaha. Lakini kama sikosei waziri anayehusika amesema tbc wata record na kutuonyesha baadae si bado huo uhuru wako utatimizwa? Kwanini utumie mamilioni bila mpango ati sababu katiba inasema?

kurekodi kunatoa mwanya wa kuhariri. msitufanye wajinga. nenda kachukuwe buku 7 zako.
 
Pumba tupu na sijaweza kusoma andiko lako lote...acha kujaza server ya JF kama huna la maana la kuchangia.

Kwanza, hakuna mahali katiba imevunjwa...kama ni taarifa basi tutapata taarifa zote katika kipindi cha "Bungeni Leo".

Pili, Kama mnataka Bunge lirushwe LIVE nendeni TBC mkalipie gharama za kurushia matangazo LIVE...ni bilioni 4 tu kwa siku moja.

Tatu, wananchi wengi wanataka serikali ijikite kwenye kutimiza ahadi zake na sio kuona serikali inatumia pesa nyingi kwa mambo yasiyo ya kipaumbele.....bunge kurushwa LIVE ni anasa. Kama mlipa kodi sipo tayari kuona pesa yangu inatumika kufanya anasa isiyokuwa na tija yoyote kwa wananchi walio wengi.
Una matatizo makubwa sana ya Akili,wala sikushangai na sikutarajia any sense kwenye response yako. Nothing good will ever come out of you! Endeleeni kuteteana kundi la VIWAVI!
Halafu acha kupotosha watu, gharama za Live coverage ya TBC ni 4Billion kwa mwaka na si kwa siku.
Mlivyo wapumbavu mnabana matumizi kwa kuondoa live coverage ya TBC huku mkiacha kukusanya mapato ipasavyo kwenye rasilimali zilizopo? Huko ni kubana matumizi kweli au ni kuwa WAPUUZI ZAIDI? Mna tofauti gani na mabinti wa Mombasa wanaolinda Bikra kwa kuruhusu kuliwa Tigo? Bahari yetu shamba la bibi, Mbuga za wanyama shamba la bibi, Gas, Madini,huko ndo kabisa,halafu akili zenu zinawatuma Tbc! Vilaza wa Karne!
 
Hawa jamaa hawana ajenda yoyote kwa sasa wamebaki kudandia mambo ya kipuuzi tu.

Hiyo mishahara yao isiyokatwa kodi ikatwe kwa ajili ya kurusha live coverage kama wanaona hilo ni la muhimu sana.

Siyo kubebesha wananchi gharama za kurusha mipasho na upuuzi mwingine.

And the good thing about Magu is that he doesn't entertain nonsenses so no free juice this time.
 
Nimeshangaa kuona wabunge wanapoteza muda kujadili hili swala. Kwa wananchi wa kawaida hii siyo issue muhimu. Kama serikali imesema inataka kubana matumizi nilidhani waheshimiwa wabunge wangeunga mkono.

Wengine watasema ni haki ya wananchi kufuatilia mijadala na mimi naungana nao lakini je serikali si imesema TBC watarecord na kutuonyesha baadae? Kwanini wabunge wapigane? Ama kuna agenda za siri ambazo wengine hatuzijui?

Mimi ni mtanzania ninayefuatilia mabunge mengine hasa ya nchi zilizoendelea kama Uk. Wenzetu wana live coverage ya nusu saa mara moja kwa wiki na ni siku ya jumatano kuanzia saa sita mpaka saa sita na nusu. Na hii ni siku maalum ambapo Waziri mkuu anapata kipindi kinaitwa PRIME MINISTE'S QUESTION. Zaidi ya hapo labda kuwe na suala muhimu na dharula na hii ni nchi tajiri ambayo wananchi wanalipishwa kitu kinaitwa TV LICENCE. Ambao kimantiki wakiwa na mawazo kama yetu wanahaki zaidi ya kudai kuona kila kitu live maana wana ifund tv yao siyo sisi tunalipa in direct.

Cha msingi wabunge wangeisukuma serikali ikusanye mapato zaidi na hata waishauri ianze kulipisha kila mtu mwenye tv awe na leseni. Hapo kuwe na kitu kinaitwa channel ya bunge kama uk bbc parliament.

Zaidi ya hapo sioni kama serikali imekosea na tujue RAIS KASEMA AWAMU YAKE NI YA KUBANA MATUMIZI YA SERIKALI KAMA TUMESHANGILIA MAWAZIRI KUNYIMWA SAFARI ZA NJE TUSHANGILIE NA SISI KUNYIMWA LIVE COVERAGE YA BUNGE.
Baadhi ya wabunge wanatafuta umaarufu na wajulikane kupitia luninga ndo njia rahisi
 
Back
Top Bottom