wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Alieseme hivyo si baba wa mlengwa?JPM atawabatiza kwa Moto, Mzee yule alinifurahisha sana sasa wacha tuone, Maji yapo uwani kwake mafuriko hayo
Alieseme hivyo si baba wa mlengwa?JPM atawabatiza kwa Moto, Mzee yule alinifurahisha sana sasa wacha tuone, Maji yapo uwani kwake mafuriko hayo
Mzee, hapa ingekuwa China wote hao hadi yule mzee mvi wangewashwa moja kwa moja bila hata ya kwenda jela kula ugali wa bure.1.5 Trillion ..China angefanywa nini????
wananchi tuamue iwe hivyo..sukuma ndaniMzee, hapa ingekuwa China wote hao hadi yule mzee mvi wangewashwa moja kwa moja bila hata ya kwenda jela kula ugali wa bure.
Hili fumbo vipiHuyu naye kule bandarini anahusika. Kuitwa kwake ni baada ya kijana yule kumtaja kwenye kumsaidia kule bandarini. Kama siyo wadhifa angechukuliwa kimafia.
Wapo pia dada yake kwa pamoja wana dili kule Singida "Wanasaplai" raw materials. Alitajwa na kijana yule kama msaada kwake.
Kinachofuata atatumbuliwa kisha ataundiwa zengwe. Mwisho wake umewadia.Biashara "kwishney" mambo mpelampela familia inaanguka. Kijana yule kajipangaje? Waajiriwa je?
Swali langu la kila siku. Kwanini wanawachukua kimafia?
Mkuu una mengi sana ya bandarini bila shaka unafanya kazi huko au una madili ya mandarini.Huyu naye kule bandarini anahusika. Kuitwa kwake ni baada ya kijana yule kumtaja kwenye kumsaidia kule bandarini. Kama siyo wadhifa angechukuliwa kimafia.
Wapo pia dada yake kwa pamoja wana dili kule Singida "Wanasaplai" raw materials. Alitajwa na kijana yule kama msaada kwake.
Kinachofuata atatumbuliwa kisha ataundiwa zengwe. Mwisho wake umewadia.Biashara "kwishney" mambo mpelampela familia inaanguka. Kijana yule kajipangaje? Waajiriwa je?
Swali langu la kila siku. Kwanini wanawachukua kimafia?
Nimeishiwa rizla mkuu Fanya kuniazimisha nami npate kitu hapa.Hapa bila kupiga cha Arusha uwezi kuelewa kitu.
Hiyo R imesimama badala ya nini sasa ? Bob=Robert .Time will tell!! B R marley aliona mbali sana!
Jah will never give power to the bald head
Baada kugonga ukuta wa koromije bila mafanikio sasa mnarudi tena kule kule mlikoshindwa enzi za mzungu. Bumbuli sio kwa kujaribu kule ni bora mkajaribu hai.Huyu naye kule bandarini anahusika. Kuitwa kwake ni baada ya kijana yule kumtaja kwenye kumsaidia kule bandarini. Kama siyo wadhifa angechukuliwa kimafia.
Wapo pia dada yake kwa pamoja wana dili kule Singida "Wanasaplai" raw materials. Alitajwa na kijana yule kama msaada kwake.
Kinachofuata atatumbuliwa kisha ataundiwa zengwe. Mwisho wake umewadia.Biashara "kwishney" mambo mpelampela familia inaanguka. Kijana yule kajipangaje? Waajiriwa je?
Swali langu la kila siku. Kwanini wanawachukua kimafia?
mkuu nani hawa wataalamu tena toka gambia kwa yule aliyekuwa fisadi yaya jahmehHe he he he
Si nasikia mzee baba yake na dogo ndiye fundi na head of kamati ya benchi la ufundi la chama cha Kijani??
Sasa wakiiporomosha familia nani ataenda tena Gambia kutuletea wataalamu??
JPM atawabatiza kwa Moto, Mzee yule alinifurahisha sana sasa wacha tuone, Maji yapo uwani kwake mafuriko hayo
kila aliyehusika lazima akione cha moto , tena haijalishi alikuwa na cheo gani .Huu uzi mgumu sana ila laana ya wizi wa kura Wote tutaongea tu lugha moja
.........Huu uzi mgumu sana ila laana ya wizi wa kura Wote tutaongea tu lugha moja
.....kila aliyehusika lazima akione cha moto , tena haijalishi alikuwa na cheo gani .
Yaani wewe ndo umenizindua nilikuwa bado nipo gizaniWajuvi walitambua toka mwanzo! Enzi za ile post ya mtu alokuwa shimoni kisha akaamua kuichoma ngazi ili ajistiri kwa baridi! Mda ni mwalimu mzuri sana
Wahindi waoga sana. Akitishwa tu mambo yote hadharanido you mean to tell us that Mo is a rat/snitch?
could not handle torture!!!!
Watu JF wana kumbukumbu za ajabu sana. Hawasahau kitu!Wajuvi walitambua toka mwanzo! Enzi za ile post ya mtu alokuwa shimoni kisha akaamua kuichoma ngazi ili ajistiri kwa baridi! Mda ni mwalimu mzuri sana