Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Umepiga kitu ya chuga kwanza au utulivu wa kufuatilia comments umekusaidia. Hii post imekaa ki jf hasa. Lazima uumize kichwa ndo upate hints.Hahahahaha sasa nimeshaelewa kinachoendelea
Umepiga kitu ya chuga kwanza au utulivu wa kufuatilia comments umekusaidia. Hii post imekaa ki jf hasa. Lazima uumize kichwa ndo upate hints.Hahahahaha sasa nimeshaelewa kinachoendelea
Huyu naye kule bandarini anahusika. Kuitwa kwake ni baada ya kijana yule kumtaja kwenye kumsaidia kule bandarini. Kama siyo wadhifa angechukuliwa kimafia.
Wapo pia dada yake kwa pamoja wana dili kule Singida "Wanasaplai" raw materials. Alitajwa na kijana yule kama msaada kwake.
Kinachofuata atatumbuliwa kisha ataundiwa zengwe. Mwisho wake umewadia.Biashara "kwishney" mambo mpelampela familia inaanguka. Kijana yule kajipangaje? Waajiriwa je?
Swali langu la kila siku. Kwanini wanawachukua kimafia?
kwellHuyu naye kule bandarini anahusika. Kuitwa kwake ni baada ya kijana yule kumtaja kwenye kumsaidia kule bandarini. Kama siyo wadhifa angechukuliwa kimafia.
Wapo pia dada yake kwa pamoja wana dili kule Singida "Wanasaplai" raw materials. Alitajwa na kijana yule kama msaada kwake.
Kinachofuata atatumbuliwa kisha ataundiwa zengwe. Mwisho wake umewadia.Biashara "kwishney" mambo mpelampela familia inaanguka. Kijana yule kajipangaje? Waajiriwa je?
Swali langu la kila siku. Kwanini wanawachukua kimafia?
Basi hii ya leo ni hiyo 10% iliyobaki.Habari za huyu ndugu huwa 90% ni uongo
Sielewi huu uzi, nieleweshe dada anguMaskini ndugu yangu naona Mwisho wake wa kuhudumu Unakaribia karibia. Inawezekana mhindi alionekana kutaka kumfadhili marope 2020 kura za maoni sasa kamsababishia mwenzie tafrani
Na Kuna MP mmoja toka Mkoa wa Pwani. Muda utasema.JPM atawabatiza kwa Moto, Mzee yule alinifurahisha sana sasa wacha tuone, Maji yapo uwani kwake mafuriko hayo
Hii issue ya Aesh Manula wa Sumbawanga ni mwisho mkuu, 100m per1?Yule dingi yao alipiga mpunga mrefu enzi za kura ya maoni. Ukitoswa tuu, unapeleka mil 100.aeshi sumbawanga. Etc etc Etc
Kwa hapo Wachina wako vizuri. Yaani hata wa Kivuko kibovu asingepata nafasi ya kukigeuza kuwa B.52!!Mzee, hapa ingekuwa China wote hao hadi yule mzee mvi wangewashwa moja kwa moja bila hata ya kwenda jela kula ugali wa bure.
Waziri mzima kukamatwa na Polisi kisha wakabadilisha maana ya ukamataji na kuita "kuitwa polisi" unaona ni jambo la kawaida!?Baada kugonga ukuta wa koromije bila mafanikio sasa mnarudi tena kule kule mlikoshindwa enzi za mzungu. Bumbuli sio kwa kujaribu kule ni bora mkajaribu hai.