Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

mwezi umeisha bila baraza la mawaziri, mtu mbili tu zinaendesha nchi magufuli na ombeni tosha kabisa, pale bungeni walivyokuwa wanafanya fujo angelifuta bunge palepale ingekuwa bonge la big up.
Mkuu, Rais wa Nigeria alipo chaguliwa amekaa miezi sita bila ya Baraza la Mawaziri na Nchi ikawa anaiongoza kwa ufanisi mkubwa!!!
 
hihihi wazeewa10% naona watakuwa kazini kusaka waganga wa kumnyamazisha magu.......

bora awakomeshe kuna haja gan kutumbuua milioni 265 ilhali kuna mwananji anakufa mahali kwa kukosa mseto wa buku wakome
 
Muache hawe dictator.

Hela za Escrow mligawana mkasame ni za mtu binafsi kagawa sadaka. Leo hizi nazo ndio za makampuni binafsi zilitolewa kwa ajili ya kupikia chapati wabunge lakini kwa vile wote walikuja wameshiba rais akasema zikanunulie vitanda hili wagonjwa wapumzike.

Uditekta mwingine ni mzuri, kitu chochote kina ubaya na uzuri wake na hapa rais katumia uditekta vizuri.
 
huwezi elekeza pesa zilizochangwa kwa shughuli fulani iende kufanya jambo lingine hata kama hilo jambo lina faida zaidi. sheria hizi zipo kuzuia ishu za kutakatisha pesa na kuchangisha fedha kwaajili ya magaidi.

Shame on you.

Pesa zote zilizopotea kwenye nchi hii na kwenda kwa viongozi walafi leo mil 250 imeenda kwa wagonjwa maskini mnataka kupiga kelele?
 
kusema 2016 tushereke kawaida,leo tufanye usafi na fedha zitumike pengine bila kusema wapi hii maanake ni hakuna pesa hazina na propaganda za kiini macho kwa washabaki ila sio waelewa,ilhali ni KUDHARAU SIKU TULIYOPATA UHURU kwa kuficha yasiyofichika shame
 
huwezi elekeza pesa zilizochangwa kwa shughuli fulani iende kufanya jambo lingine hata kama hilo jambo lina faida zaidi. sheria hizi zipo kuzuia ishu za kutakatisha pesa na kuchangisha fedha kwaajili ya magaidi.

Ukinipa mchango wa sherehe ni maamuzi yangu nitumiaje pesa hio either kwa ajili ya sherehe hio au nipeleke kwingine hio aikuhusu as long as your part is done,zilichangwa yes na alipendekeza hakutoa amri,alichopendekeza kimefanyika is it bad?hebu tuambie amekosea wapi
 
Tanzania is already a police state. THERE IS NO QUESTION ABOUT THAT. WHAT MAGUFULI IS DOING IS JUST TO IMPLEMENT WHAT IS ALREADY IN PLACE.
 
huwezi elekeza pesa zilizochangwa kwa shughuli fulani iende kufanya jambo lingine hata kama hilo jambo lina faida zaidi. sheria hizi zipo kuzuia ishu za kutakatisha pesa na kuchangisha fedha kwaajili ya magaidi.

sijui taaluma yako ila nadhani masuala ya budget management huyajui.
 
HADI SASA HAKUNA MTU HATA MMOJA ALIYE JIBU HOJA ZA PASCO.
Wote wanahoroja kishabiki wasijue iko kesho tena kesho itayo washangaza hata wao !
-MZARAUNI PASCO LEO ILA KESHO MTA MWELEWA SANA ..

JAPO ITAKUWA TOO LATE!

Hivi wewe akili zako zinamtegemea Pasco?..... Ama unahisi kua Pasco hua yuko Sahihi wa kila bandiko?.... Acha kua na hisia dependent jisimamie ukiona watu 95 kwenye 100 wakagomea hoja yako lzm ujitambue kua umechemka..... Moja ya kusababisha mambo mazuri kwenye jamii iliyochoka kama TZ ni kubana matumizi..... Si utashangaa sana siku akisema hapandishi mishahara yenu na ukiwa mzembe kwa ajili ama lengo la kumkomoa rais itakula kwako...... Fikiria kabla ya kusema unahitaji kusherekea.... Kuna shida nyingi sana kwa watz,,,,, na ni kweli haziwezi kumalizwa na magufuli lkn bora atoe mwanga kwa watakaomfuata....... Magufuli tumamaga namhala....
 

ndiyo hazina hakuna hela wewe ulitaka iweje?
 

Walewale...... Cheka sana eti kudharau Siku ya UHURU..... Inakusaidia nini? Jipange kwa ajili ya kusherehekea BIRTHDAY YAKO hiyo ni bora kabisa kuliko
 
Idea inayonijia kichwan ni kuwa miaka ya nyuma mtoa mada ulikua unafaidika na ulaji wa % fulani ndo maana inakuuma. Sawa ulimkubali Magufuli lakini hukujua atakupotezea ulaji....samahani ni maoni tu
 
huwezi elekeza pesa zilizochangwa kwa shughuli fulani iende kufanya jambo lingine hata kama hilo jambo lina faida zaidi. sheria hizi zipo kuzuia ishu za kutakatisha pesa na kuchangisha fedha kwaajili ya magaidi.

Kwani hiyo paty ambayo ilitumia 10% ya original budget haikua party? Kwa hali ya kawaida tanzania party ya 200M inakua na mayai ya gold au nini?
 
mh raisi kwa hili nakupa big up na nakuomba tupilia mbali kabisa mbio za mwenge.
 
JIBU HOJA ACHA KUKURUPUKA we kilaza ..hatuwezi kuwa na mihimili mitatu halafu mtu anahodhi mamlaka ..

Ningeshauri hiyo siku ya usafi badala ya kupiga kwata wajeda wasimamie ila watu kama Pasco wasilete ufaza wote mitaroni
 
Na huu si udictator ndo inaitwa "authoritarian" kama akili yangu imejaa vizuri. Tumwache. Nchi imeyumbwa kwa kukosa wenye kuinyosha kwenye mstari.
 
Kuna msemo unasema ili ule nyama lazima uchinje inamaana kiumbe kitaumia ila wewe utafaidi nyama hivyo hivyo kwenye maamuzi magumu muda flani inabidi baadhi ya watu waumie ili ufikie malengo ambayo yatawanufaisha wote
 
Mkuu Pasco Ninakuheshimu sana kwa hoja ulizo weka hazina nguvu sana Nchi yetu chafu umasikini wa kumwaga maradhi ndio usiseme. Mheshimiwa Rais Magufuli hajafanya kosa kuiondosha

Sherehe za uhuru wa nchi na badala yake amaeagiza nchi nizima Wananchi tuungane kusafisha nchi kwa

sababu ya maradhi ya kipindupindu huoni Rais Magufuli amefanya jambo la maana sana? Sherehe za Uhuru kila mwaka zipo zisipofanyika mwaka huu mwakani tutazifanya Mkuu pasco kwa

maneno yako ya kumkosoa Muheshimiwa Rais Magufuli hapo sipo pamoja na wewe. Mkuu Pasco twende

kule kwenye Jukwaa la Jamii Intelligence tukazungumze mambo ya nyota achana na mambo ya Kisiasa Mkuu Pasco .
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…