Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

Si mlikuwa mmechoshwa na upole wa JK nyinyi? Mmeanza kumkumbuka hata mwezi haujaisha. Tena wengine mlisema rais ajaye awe dikteta. Sasa kilio chenu kimesikiwa makelele ya nini tena?
 
Huyu ndie rais Tz inamtafta, ww ilimpigia chapuo Eddo wako subir siku edo akiwa rais ndo mwekee misingi yako.... Goo John Gooooo
 
Mkuu hii ni DEMOKRASIA MTAMBUKA...! Hautaki....Rejea kauli ya Membe kipidi cha dk 45 ITV.
==================================
Pasco CSR gani unazungumza zaidi ya hiyo ya kununua vitanda....! Charity ya hizo kampuni imekusanywa pamoja....kutatua kiasi tatizo sugu la hospitali kuna ubaya gani hapo...!?
 


Talking of presidential decrees...hazikutakiwa kutumika katika nchi zinazohubiri utawala wa kidemokrasia. Kwenye nchi za kifalme yes!
 
Kwa nia ya kusave money ni uamuzi mzuri sana. Uzuri kaishasema hizo pesa za Uhuru zinaelekezwa wapi!!!!

Tuacheni kushabikia sherehe wakati wagonjwa wanalala chini, dawa hakuna, maji hakuna, umeme shida eti tunakomalia tufanye shehere, what for???
 
Hata kama ni cost cutting sio kufuta kabisa ile fhifa ya kitaifa

Jamaa wa parade waende wapige kwata wale hakuna posho mshahara si wanalipwa

Jiburudishe na parade za zamani kama ulizirekodi. Zinasaidia nini? Watu mlo wa pili hawana unangangania kwata.
 
Tumuunge mkono rais wetu JPM, nilivyoelewa hajafuta sherehe kwa kiburi tu bali ameeleza sababu ya msingi kwamba maeneo mbalimbali nchini yanakabiliwa na kipindupindu mnataka busara gani zaidi ya hizo. Au mnataka turudi mwaka 1992 madaktari na manesi wamegoma mhimbili rais wa wakati huo (mzee ruksa) yuko uwanja wa taifa kumpokea kanda bongoman?. halafu wewe elewa kuazimisha sio lazima gwaride tupate staili zingine kama hizi kulingana na mazingira. ndiyo kusema ingetokea ajali mbaya bado ungeendelea kupigia debe sherehe?
 

Aisee mmehamasika kweli, kama vipi tumshauri atuletee zile sera za china kabisa kina Pasco watapukutishwa kweli
 
umeongea vyema kabisaaaaa!!!u dictator pkus usanii alafu ukiwa unaongoza mapoyoyo basii utawala kunoga kweli!
 
Do you mean raisi alifanya kosa kuzielekeza pesa zile kununulia vitanda vya hospital.
 
mwezi umeisha bila baraza la mawaziri, mtu mbili tu zinaendesha nchi magufuli na ombeni tosha kabisa, pale bungeni walivyokuwa wanafanya fujo angelifuta bunge palepale ingekuwa bonge la big up.


Nimecheka sana hapa
 
umeongea vyema kabisaaaaa!!!u dictator pkus usanii alafu ukiwa unaongoza mapoyoyo basii utawala kunoga kweli!

Wewe mpuuzi jitazame sana! Usidhani kuwa kwako JF kuna kuhakikishia usalama. Tutakutafuta na kutakufanya kitu mbaya. Mshenzi mkubwa wewe.
 
Wewe unauelewa wa kutosha za kujua au kuona jitihada za rais za kujaribu kutoa nchi kwenye hili shimo. Pasco ni adui wa mabadiliko! Wewe ni adui wa mabadiliko unanitia kichefchefu
 
Last edited by a moderator:
Duh, huyu Pasco naye sijui vipi, I reserve my comments...
 
Pesa ilitolewa na private entities kweli, lakini zikishafika serikali si zao tena bali ni za serikali, and we can do what we pretty much damn wish to do with it. Huna hoja. Hapa kazi tu.
 
Mimi nashauri Magufuli atoe tamko kuwa nchi ipo kwenye mkwamo wa kiuchumi hivyo yoyote popote alipo afunge mkanda.

#Hapa Kazi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…