Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
 
Waliipeleka makusudi ili ikamatwe, kila kitu kimepangwa, hata Tanesco inauzwa pia ndio maana wanakata umeme na maji ili wahalishe.

Walianzia mbali, kwanza walisema Mashirika yalikuwa yanadanganya gawio kwa Serikali halafu wakaja kusema Serikali haitafanya biashara hivyo wameanza kujibinafsisha mali zetu za umma.

Pure evil!
 
Waliipeleka makusudi ili ikamatwe, kila kitu kimepangwa, hata Tanesco inauzwa pia ndio maana wanakata umeme na maji ili wahalishe.

Walianzia mbali, kwanza walisema Mashirika yalikuwa yanadanganya gawio kwa Serikali halafu wakaja kusema Serikali haitafanya biashara hivyo wameanza kujibinafsisha mali zetu za umma.

Pure evil!
Hizi akili za kushikiwa hizi! Mnatabu sana
 
ifike wakati mikataba inayoingia Serikali yetu wananchi tushirikishwe moja kwa moja kwa kuiweka wazi nasi kutoa maon yetu.

Kama walivyofanya ktk rasimu ya Katiba. kila mkataba nakala ziwekwe wazi tuikague kwanza. vinginevyo hawa watu wasiozidi hata 500 watatuingiza jahanamu watu zaidi ya milion 60.

inaonesha mikataba Mingi inasainiwa na watu wa michongo makatili wasiojali Maslahi ya Taifa bali matumbo yao. sasa hiyo ndege haikuwa na abiria? Au ilikuwa ikizurula yenyewe kama Drones? kwanza ilibeba mzigo gani? wabongo c wajinga wa kuiacha ndege izurule tu bila mpango, hapo CSI wahusishwe unaweza kukuta Pipa lilikuwa na mzigo nyeti.
 
Waliipeleka makusudi ili ikamatwe, kila kitu kimepangwa, hata Tanesco inauzwa pia ndio maana wanakata umeme na maji ili wahalishe.

Walianzia mbali, kwanza walisema Mashirika yalikuwa yanadanganya gawio kwa Serikali halafu wakaja kusema Serikali haitafanya biashara hivyo wameanza kujibinafsisha mali zetu za umma.

Pure evil!
Kampuni feki kama Richmond inatokea USA inakuja kuchukua uwekezaji kumbe Ni watt wa mjini Mana wachunga ng'ombe hatuwezi jua. Kama Mauritius inavyosajili kampuni na Seychelles bila complication.
 
Back
Top Bottom