Mzigdash
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 440
- 375
Unaweza ukawa single na uka fight usivipateni wao kk sio mimi
Unaweza ukawa single na uka fight usivipateni wao kk sio mimi
Sijui hata kama unaelewa maana ya and vice versani wao kk sio mimi
Sawa mkuu. Umenizidi miaka miwili.sawa mkuu but kumbuka am twenty three years so ni mtu mzima yaan
Yap sifa ya baba lazima ahudumie familia, binafsi siupendi umaskini siwezi kuoa mpaka nipate pesa ya kutosha hakuna linaloshindikana chini ya jua
kwa hiyo usipopata mihela huoi?ukioa huku huna mihela ni majanga tuu. utajileteaa stress zaidi.
kwa hiyo usipopata mihela huoi?
mawazo ya wanafunzi haya.ndio sioi....kwa sababu nitajiongezea mastress zaidi. kwanza ukiendajitambulisha kwa wazazi wa mwanamke utaulizwa una fanya kazi gani na una nini....sasa hapo utajibu nini shekh wangu?
mawazo ya wanafunzi haya.
Miaka 23 unajiita mtu mzima? You have way to go... fika 27 ndio ujue mambo yakoje.me ni mtu mzima kumbuka
miaka 23 sio mtoto
ninajielewa na naelewa nini nasemaa
Ni kwelina mifano hai ipoo. Cha msingi ni kupata anaejielewa then wote mkajenga pamoja.sio kwel mkuu
sio kwa usawa huu
Sawa sawa na ndio maana mwisho wa siku mnaangukia sehem pesa yako ndo inapendwa na sio ww kamwehiyo ni misemo yakujifariji...mwanaume pesa tu mengine yote yatakuja
Baba yake anaingiaje hapo?.baba ako alioa akiwa na gari ngapi
Means that babaake angesubiri hayo huyo asingezaliwa...... ndoa nyingi za siku hizi hazidumu ksb ya vijana wengi wanafikiri mafanikio ya gari na nyumba ndiyo yanamfanya mke akupende na atulie ndani... mpe mke hiyo gari ili waosha magari wakamlie humo humo kwenye gari ... ndipo utakapogundua sifa za marehemuBaba yake anaingiaje hapo?.