MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,543
- 11,644
Kumekuwepo na Swali la Watu wa vijijini hawako kwenye mitandao ya kijamii, je watajuwaje kuhusu Maandamano?
Je kwa nini tusianze kuhimiza watu wa vijijini na mijini faida za maandamano kupitia SMS moja kwa moja kwenye simu zao.
Nawasilisha wazo teremshemi maeneo ya kimkakati ya kuhamasisha zaidi.
Safari hii tumejipanga sana kiteknolojia.
Je kwa nini tusianze kuhimiza watu wa vijijini na mijini faida za maandamano kupitia SMS moja kwa moja kwenye simu zao.
Nawasilisha wazo teremshemi maeneo ya kimkakati ya kuhamasisha zaidi.
Safari hii tumejipanga sana kiteknolojia.