Nyie vijana mna hatari. Miaka ya 70 havikuepo na kama mtu angechora ivo ungedhani ukweli. Technolojia bwn. Wengne wahoji mbona wengne hapo? Mwl akuwaacha,wamekuja baada yake kusafiri. Kama wale waarab mafisadi na wasomali. Nilichek picha nkasikia mwl.anacheka,kasema wee ndo nlikuwa nakutafuta! Nlikuambia u mdogo ukabishi sasa chombo ndo umeshazamisha!ukamuka anaefuata na nywele nyeupe awe mshauri mkuu,utanikoma! Ghafla mwl kashtuka akahoji na nyie wa mwisho wawili vp? Kwa hofi wakajibu Tumewasindikiza wasije kukutoroka maana bongo uliotuachia sio ile tena,bila kusimamiwa hawa watatoroka mboko!