Kama ningeyajua haya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

Imagine hadi wanandoa wanaua bila sababu,hawa tayari wanajuA kabisA kuwa wanUa mtoto,watoto wa shule nao wanAjiteteA kuwa wanDhNi ni madamu damu wanatoa.wTu wAnaogopa ukimwi kuliko mimba sbb Kwao mimba ni sawa na mijusi tu ikiingia wakati usiotakiwa inanyofolewa mbali.how evil

How do you prevent mimba zisizo pangiliwa kama ungelikuwa ni wewe?
 
Na hakuna dhambi isiyo sameheka!

Ila inahitaji toba ya kweli...isije ikawa kama ile hadithi ya fisi aliyekwenda kuungama kwa kula mtoto wa mbuzi. Akiwa katikati ya maungamo akasikia mbuzi analia kwa nje. Alichofanya akamuhiza padri afanye maungamo fasta fasta maana kuna mbuzi mwingine analia nje.
 
Nyinyi watu acheni akili za kijinga na zakitanzania ambazo hazifikiri. Kama mimba ikiwa changa ni damu tu. Kingine kama huna uwezo utafanya nini kuliko kuleta yatima na kuwatesa bure. Ni maamuzi ambayo lazima baba na mama wahafiki na kukubaliana. Huweiz kuwa na mtoto kama hauko tayari kumtunza na kumkuza. Kuzaa sio kazi, kazi kulea.
 
How do you prevent mimba zisizo pangiliwa kama ungelikuwa ni wewe?

Mkuu wangu njia za kuzuia ujuzito zipo nyingi na zinajulikan na asilimi kubwa ya wanawake.Mimi njiA niliyochGuA ni kutojihusisha kabisa na masualA ya ngono hadi ndoa.ila hapa suala ni kuwa kutoa mimba ni uuaji hivyo hAta Leo hii nikibakwa nikapata ujauzito ambao
 
How do you prevent mimba zisizo pangiliwa kama ungelikuwa ni wewe?

Mkuu wangu njia za kuzuia ujuzito zipo nyingi na zinajulikan na asilimi kubwa ya wanawake.Mimi njiA niliyochGuA ni kutojihusisha kabisa na masualA ya ngono hadi ndoa.ila hapa suala ni kuwa kutoa mimba ni uuaji hivyo hAta Leo hii nikibakwa nikapata ujauzito ambao kwa kweli utavuruga mipango mingi ya maish yangu sitaweza kuwa mkatili kiasi Cha kukatisha uhai wa huyo mtoto,nitampenda na kuilea hiyo mimba kwa furah
 
Sio mijusi na kenge inayoanzia uhai kwenye binaadamu bali uhai wa binaadamu umeanzia kupitia kwao wao

Kwa ufupi ni kuwa kima na mijusi ni babu na bibi zako

Nafikiri cha msingi hapa ni kuangalia kile kilichopatikana after fertilization ambacho kitakuja kuwa mtoto after 9months na siyo kenge na mijusi
 
Ila inahitaji toba ya kweli...isije ikawa kama ile hadithi ya fisi aliyekwenda kuungama kwa kula mtoto wa mbuzi. Akiwa katikati ya maungamo akasikia mbuzi analia kwa nje. Alichofanya akamuhiza padri afanye maungamo fasta fasta maana kuna mbuzi mwingine analia nje.


NimeipendA hii.
 
Sio mijusi na kenge inayoanzia uhai kwenye binaadamu bali uhai wa binaadamu umeanzia kupitia kwao wao

Kwa ufupi ni kuwa kima na mijusi ni babu na bibi zako
Karudie tena kusoma hizo theories, zilishagundulika kuwa hazikuwa za kweli siku nyingi.
 
Nyinyi watu acheni
akili za kijinga na zakitanzania ambazo hazifikiri. Kama mimba ikiwa
changa ni damu tu. Kingine kama huna uwezo utafanya nini kuliko kuleta
yatima na kuwatesa bure. Ni maamuzi ambayo lazima baba na mama wahafiki
na kukubaliana. Huweiz kuwa na mtoto kama hauko tayari kumtunza na
kumkuza. Kuzaa sio kazi, kazi kulea.

Unatakiwa kuwaza kabla hujaamua kubeba mimba sio unajiachia tu then ukipata mimba ndio unagundua kuwa huwezi kulea!
 
Karudie tena kusoma hizo theories, zilishagundulika kuwa hazikuwa za kweli siku nyingi.

Nipe link ionyeshayo hivyo

*Tanabahi

Kanisa Katoliki linakubaliana na nadharia ya evolution
 
Nyinyi watu acheni akili za kijinga na zakitanzania ambazo hazifikiri. Kama mimba ikiwa changa ni damu tu. Kingine kama huna uwezo utafanya nini kuliko kuleta yatima na kuwatesa bure. Ni maamuzi ambayo lazima baba na mama wahafiki na kukubaliana. Huweiz kuwa na mtoto kama hauko tayari kumtunza na kumkuza. Kuzaa sio kazi, kazi kulea.
Ni kweli, lazima kujipanga,
ila tatizo hapa ni self control, unataka sex bila mipaka, lakini hutaki mtoto
ni sawa na wale wanaopenda kujichana lakini hawapendi kuvimbiwa,

Kama uko serious hutaki mtoto kwa sasa/ kuvimbiwa unachotakiwa ni kuacha kitendo kile kama ni kula au sex, sio kula na kujitapisha au sex na kutoa mimba.

Kwa sasa tatizo la ula na kujipapisha sio kubwa ila lipo na linakua kila kunapokucha, dawa ni self control
Sex kila siku ni kupungukiwa na self control pia tatizo ni kubwa zaidi la limepokelewa kuwa ni kawaida.
Tuna safari ndefu kurudi kwenye kujiwekea mipaka katika matamanio yetu
 
Huyo rafiki yako simzima! Kwa hiyo alikuwa hajuai ana ua!

Kwa hiyo alikuwa hajui mimba nini?

Nia yake ilikuwa ni kutaoa mimba wala si mabonge ya damu!

Wale wale wauaji
ange kwambia sababu nyingine siyo hiyo!
 
Hapo mie nakataa .......
Ni kweli mkuu uhai unaanza pale yai na mbegu zinakutana na Mungu anaweka roho ya huyo mtoto, ndo maana tunasema uhai wa mtoto unaanza mbegu na yai vikikutana tu! Hyo ndo miujiza ya Mungu!
 
i dont condone this but how old was she at the time? was she a student or unmarried and which year was it?
 
Ni kweli mkuu uhai unaanza pale yai na mbegu zinakutana na Mungu anaweka roho ya huyo mtoto, ndo maana tunasema uhai wa mtoto unaanza mbegu na yai vikikutana tu! Hyo ndo miujiza ya Mungu!

Uhai, sio binaadamu
 
Back
Top Bottom