We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Wana Jamvi,
Kwa viongozi wetu waliopo madarakani, hasa wale wa Kisiasa na wa Kuteuliwa. Kwa jinsi hali ya utendaji wa Serikali ulivyo kwa sasa, sina shaka kabisa kuwa imepoteza muelekeo, na kupoteza imani kwa wananchi walio wengi. Kwa mantiki hiyo basi, kiongozi muadilifu, narudia, kiongozi muadilifu kwelikweli, asingeweza kufanya kazi kwa hali ya kutoeleweka/ kutoaminiana/ kubabaika iliyopo Serikalini kwa Sasa. SWALI: Je Viongozi wetu nyie mliopo ndani ya Serikali ni Waadilifu? Au hamjui na kufahamu maana ya Uadilifu?
Tupeni majibu wala msisubiri 2015
Kwa viongozi wetu waliopo madarakani, hasa wale wa Kisiasa na wa Kuteuliwa. Kwa jinsi hali ya utendaji wa Serikali ulivyo kwa sasa, sina shaka kabisa kuwa imepoteza muelekeo, na kupoteza imani kwa wananchi walio wengi. Kwa mantiki hiyo basi, kiongozi muadilifu, narudia, kiongozi muadilifu kwelikweli, asingeweza kufanya kazi kwa hali ya kutoeleweka/ kutoaminiana/ kubabaika iliyopo Serikalini kwa Sasa. SWALI: Je Viongozi wetu nyie mliopo ndani ya Serikali ni Waadilifu? Au hamjui na kufahamu maana ya Uadilifu?
Tupeni majibu wala msisubiri 2015