Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

kumbukakurekebisha screentouch za huko nisiteseke duniano na mbinguni pia
 
Unajichulia eeeee mi nataka ukifa unipe tu hiyo simu na ile saa etiii
 
R.I.P Mtoi
 
aaah acha kabisa, he was my best friend aiseeeee
Kabla sijajiunga na JF nilimjua tu pale alipotutupa mkono na kurejea kwa muumba wake, maana nilikuwa sifuatilii Siasa kipindi hicho ndio maana nilikawia kumfahamu.

Wakati nipo hapa JF nikawa nafukua makaburi mara nikaona huyu member nikaangali na nyuzi zake, kiukweli alikuwa ni mtu mwenye sifa zake ambazo wewe ndio unazijua vizuri.

R.I.P Mtoi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…