Kama ni wewe utafanyaje?

Kama ni wewe utafanyaje?

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,308
Kuna mwanamke mmoja alimuomba mpangaji mwenzake wa kiume ndoo ya kuogea,alipomaliza kuoga akamrudishia jamaa ndoo yake. Baadae akakumbuka kama amesahau chupi yake kwenye ile ndoo, akamwambia yule jamaa,nae jamaa akamwambia ingie ndani aichukue.

Wakati anatoka ghafla mume wake akawa anarudi nakumkuta mkewe ameshika chupi mkononi akitoka kwa msela. Je kama wewe ni mume wa yule demu au mke wa yule msela utafanyaje?
 
Ntachanganyikiwa kwanza, maana kiashiria cha chupii mkononi kinajenga mazingira ya kutarasuliwa mkeo cha chapu chap..........!
 
very simple,,,, nitakagua machine kama jamaa ameichakachua itajulikana tu
 
Si kila anayefungwa ni mtenda kosa ni kutokana na kukosa tu vielelelzo tosha vya kuishawishi mahakama kuwa hausiki, vile vile si kila anayepewa talaka ni muovu, Huyo bidada ni talaka tu mengine tunamuachia Mungu ahukumu siku ya Kiama.
 
mie siulozi wala nini..hapo naingia nao chumbani kwa msela na tunaanza kumgegeda huyo mke wangu mie nala tigo
 
Mi ntamnunulia ndoo ya kuogea. Wakati mwingine umasikini wako ndo utakufanya uishi kwa wasiwasi na mashaka hata yasiyo na msingi. Kama amenieleza chanzo ni nini kwa nini niendelea kuwa na mashaka wakati mimi ndo napaswa kununua ndoo tena na ya ziada? Ambana na umashkini si mashaka yasababishwayo na umaskini wako.
 
Mi sina chakujibu hapa, bafu langu liko bedroom, nyumba ukuta. Kwajirani natembea dakika 5
 
Hayo ndio maelezo ya mke baada ya kukutwa? Kwa mtindo huu hata ukimkuta na used condom bado atapata jibu. Inaingia kichwani kabisa kua mke wa mtu atachangia ndoo ya kuoga na jirani wake wa kiume???
 
Hayo ndio maelezo ya mke baada ya kukutwa? Kwa mtindo huu hata ukimkuta na used condom bado atapata jibu. Inaingia kichwani kabisa kua mke wa mtu atachangia ndoo ya kuoga na jirani wake wa kiume???
rafiki, kwa sisi tunaoishi uswahilini huku hayo ni ya kawaida kabisaaaaaa.
ukute hiyo siku maji yametoka kwenu, umejaza maji kwenye kila kitu, hadi vijiko.... na maji kutoka tena hadi wiki ijayo...
kuoga ni kwa kupima maji kwenye kidumu, sasa kila kitu chako kina maji hadi ndoo ya kuogea, itabidi uazime kwa mpangaji mwenzio. Wamama mara nyingi wanajaza maji kama wewe, the only option ya kuazima ndoo ya kuogea ni kwa msela
 
Unajiita mwanaume unashindwa hata kununua ndoo ya kuogea? Ulimwoa binti wa watu ili iweje?
 
rafiki, kwa sisi tunaoishi uswahilini huku hayo ni ya kawaida kabisaaaaaa.
ukute hiyo siku maji yametoka kwenu, umejaza maji kwenye kila kitu, hadi vijiko.... na maji kutoka tena hadi wiki ijayo...
kuoga ni kwa kupima maji kwenye kidumu, sasa kila kitu chako kina maji hadi ndoo ya kuogea, itabidi uazime kwa mpangaji mwenzio. Wamama mara nyingi wanajaza maji kama wewe, the only option ya kuazima ndoo ya kuogea ni kwa msela
Hata hivo sijakubaliana na utaratibu huo wa kuazima ndoo ya kuoga. Hapana!
 
Hata hivo sijakubaliana na utaratibu huo wa kuazima ndoo ya kuoga. Hapana!

We unashangaa kuazimana ndoo? Uswazi kila kitu kinaazimwa! Ndoo, sabuni ya kuoga, kandambili, dawa ya meno, mafuta ya kujipaka, chanuo, nguo, viatu.. Na in most cases wala mtu haazimi anaingia tu nakuchukua.
 
We unashangaa kuazimana ndoo? Uswazi kila kitu kinaazimwa! Ndoo, sabuni ya kuoga, kandambili, dawa ya meno, mafuta ya kujipaka, chanuo, nguo, viatu.. Na in most cases wala mtu haazimi anaingia tu nakuchukua.
Hivi mnananmbia as if mi sijawahi kukaa uswahilini? I know mtu anaweza kukaa na dignity yake hata katika hali ya umasikini. Hao wa kuazima wanayao tu!
 
Labda sababu chupi itakua mbichi mume anaweza kuelewa
 
Hivi mnananmbia as if mi sijawahi kukaa uswahilini? I know mtu anaweza kukaa na dignity yake hata katika hali ya umasikini. Hao wa kuazima wanayao tu!

Ukitaka dignity uswazi manake ununue kila kitu usiazime. Ukiazima ujue umefungulia milango ya kuazimwa! Sasa kwa kipato chetu unadhani nani anaweza kuwa na kila kitu? Kama huazimi pasi unataka ukaangalie mpira, au ukachote maji, au ukajisaidie siku kwenu kumeziba, au ukalaze mgeni wako..
 
We unashangaa kuazimana ndoo? Uswazi kila kitu kinaazimwa! Ndoo, sabuni ya kuoga, kandambili, dawa ya meno, mafuta ya kujipaka, chanuo, nguo, viatu.. Na in most cases wala mtu haazimi anaingia tu nakuchukua.

Ukitaka dignity uswazi manake ununue kila kitu usiazime. Ukiazima ujue umefungulia milango ya kuazimwa! Sasa kwa kipato chetu unadhani nani anaweza kuwa na kila kitu? Kama huazimi pasi unataka ukaangalie mpira, au ukachote maji, au ukajisaidie siku kwenu kumeziba, au ukalaze mgeni wako..
In fact kuna maisha ambayo watu wengi wanaishi na wengi hawayafahamu.....
haya maisha ya kuazimana yanapungua sana kwa kadiri kipato cha mtu kinavyoongezeka.
kuna watu anaamka asubuhi hajui hata hali itakuwaje ili hiyo siku ipite. huyo ni mtu ambaye kweli anahangaika na hiyo siku imekaa vibaya tu, kwa hiyo inabidi kupigana tafu........
kwa upande mwingine unaweza ukajaliwa kuwa na angalau kila kitu ili usiazime, lakini jirani zako ambao wengine ni wapangaji wenzio ndo ambao wanakusaidia ukiwa na tatizo ambalo siyo la kifedha...... mtu kama huyo akija kuomba kitu unaweza mfungia milango? kama unakubali kuazimisha ndoo yako ya kuogea mi nadhani ni sawa tu na kuazima ndoo ya mtu kuogea, ni kitu kile kile kwamba mna-share
 
Back
Top Bottom