Cha muhimu ulielewa haaaaaaaa mkalimani wa swanglish
alright Mr. "Ilimradi guy"
Cha muhimu ulielewa haaaaaaaa mkalimani wa swanglish
alright Mr. "Ilimradi guy"
Wapo wanaotibiwa na kupona.
Cha muhimu ulielewa haaaaaaaa mkalimani wa swanglish
Haaaaa sawa Mr mjuaji wa kila kitu
Mwongo!!!!!Nyie watu mna vipaji vya kuchekesha. Thanks nimecheka Sana.
Ungejua tangu nasoma sikubahatika kutoka nje ya 10 bora ndugu,na pale nilitaka niandike acteur lakin nikasahau iyo u kaka,mara nyingi uwa nachanganya sana kuandika maneno ya french na english,so nikiwa naandika haraka uwa nachanganya lakin namshukuru MUNGU katika kusoma kwangu sikuwa boya hata siku moja nilikuwa naburuza watu classeKuna wakati uliongea kitu kuhusu kujaza madudu shule??? Did you say I did that...? nahisi uliwahi kumwambia mwalimu wako "cha msingi ulielewa" and that is not madudu..no, its not
hapa ndugu, msingi mkuu hapa ni kitu kuwezekana..kwa hiyo alichosema ni kuwa hakiwezekani kama nilichokisema mimi...mtu akikufuata akakwambia anamiliki Ndege wakati unajua hata nauli ya daladala kwake ni mbinde mwambie "sawa...na mimi ni katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa...sasa asikuulize ndege na umoja wa mataifa vinahusiana vipi..ni kwamba kasema the impossible na umemjibu na the impossible
Ungejua tangu nasoma sikubahatika kutoka nje ya 10 bora ndugu,na pale nilitaka niandike acteur lakin nikasahau iyo u kaka,mara nyingi uwa nachanganya sana kuandika maneno ya french na english,so nikiwa naandika haraka uwa nachanganya lakin namshukuru MUNGU katika kusoma kwangu sikuwa boya hata siku moja nilikuwa naburuza watu classe
kubahatika kutoka nje ya kumi bora...ni kubahatika?? I see!..Kubahatika
some school..some class!!!
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
hiSi kama ww haukabahatika kuingia 10 bora,so ukawa unashika madudu aisee na ndo mana nilikwambia unaonekana hata shule ulikuwa uelewi ndugu,unaulizwa kingine na unijibu kingine na wakati ulifundishwa kingine
hi
Hivi ina maana mpaka sasa hujagundua kama mwenzio anacheza na akili zako? yaani kama mpira anakupiga danadana na kukubetua anavyotaka. let go, humuwezi
Kaka kuwika kwa jogoo na kuokota ela wapi na wapi??jaribu kuelewa mada tafadhali
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!