Kama ni uongo, huu ni kiboko

Kama ni uongo, huu ni kiboko

We fuata ulichokitaka kwa huyo manzi, mambo mengine ya nini, mwenyewe ulishasema hawezi kukosa boyfriend kwa mwonekano wake. sasa we ulitaka akupe jibu gani! Angalia upya style yako ya kutongoza mkuu.
 
That I readily agree..I compared you to someone who can be told something and understand..stupid comparison indeed!!!
Seems like u want me to do somethin' illegal to ya a$$!!
 
Okay,kuna maudhui hapo na swali mwishoni au???Sasa ww ukaanza why not nakunukunuu,ukaendelea ukasema kuna siku ulienda posta ukaokota ela,sasa kaka mfano wa jogoo awiki na wa kwenda mjini posta na kuokota ela na kuziacha na kufuata Azimio,huoni kama huo mfano wako tofauti sana thread kaka??

hapa ndugu, msingi mkuu hapa ni kitu kuwezekana..kwa hiyo alichosema ni kuwa hakiwezekani kama nilichokisema mimi...mtu akikufuata akakwambia anamiliki Ndege wakati unajua hata nauli ya daladala kwake ni mbinde mwambie "sawa...na mimi ni katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa...sasa asikuulize ndege na umoja wa mataifa vinahusiana vipi..ni kwamba kasema the impossible na umemjibu na the impossible
 
We fuata ulichokitaka kwa huyo manzi, mambo mengine ya nini, mwenyewe ulishasema hawezi kukosa boyfriend kwa mwonekano wake. sasa we ulitaka akupe jibu gani! Angalia upya style yako ya kutongoza mkuu.
Kweli mkuu bt point hapa ni aina mpya ya uongo nilokutana nao....
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!

Ww ni kiboko.
 
hapa ndugu, msingi mkuu hapa ni kitu kuwezekana..kwa hiyo alichosema ni kuwa hakiwezekani kama nilichokisema mimi...mtu akikufuata akakwambia anamiliki Ndege wakati unajua hata nauli ya daladala kwake ni mbinde mwambie "sawa...na mimi ni katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa...sasa asikuulize ndege na umoja wa mataifa vinahusiana vipi..ni kwamba kasema the impossible na umemjibu na the impossible

Tatizo umekalili swali ndugu na mifano yako haina interaction yoyote na iyo thread kaka
 
[mbona Kuna siku nimepata kazi ikulu, nikakacha, nikaamue bora kutembeza zangu mboga mboga mtaani mie ijapo elimu ninayo, na Ni baada ya kusota mtaani vya kutosha

eheeeeeee. ukayakimbia majukum. maaana kule ni busy busy. au ulisusa kwa hasira ya kusota mda mrefu. very funy
 
ngoja udanganywe kam mtoto mdogo,,,,,,,, weka picha kwanza asije akawa ni wangu anakuzinguwa tuu ili uwe mchepuko wake
 
Haaaa uwezo wako mdogo sana wa kufikiri ndugu yangu,sema yaishe maana me siwezi bishana nawe ndugu

uko sawa kwa point moja tu hapo....chizi huwa anashangaa akimuona a sane man doing a sane thing
 
Dah kweli nishasikia ilo mara kadhaa maana ata me wakati nikiwa kijana nilikapata kademu kazenj kana asili ya kiarabu kalikuwa kazuri sana na alinipenda sana,sema kumbe alikuwa na tatizo ilo kaka,nilikuwa nafaidi tu kiss aise mpaka mwisho wa siku ndo akaniambia ukweli ooohh ata nikiwa nakuja kukuona nakuchukia oohh nikiwa nakuja kukuona kichwa kinaniuma alafu usiku silali dah ana jini na lina watt na yeye kaka,alikuwa anaishi ilala boma nyuma la lile soko karibu na sheli kama unaenda buguruni,mwisho wa siku ilibidi tuachane wazima aisee maana ni mitihani

Kuna mdada mmoja yeye siku hizi ni muigizaji marufu tu wa hizi bongo movie anaishi sinza, yeye ukifanya nae mapenzi atakukaba kama huna nguvu anaweza kukuua aisee... na mkilala usiku, kama jana alifanya mapenzi na mwanaume mwingine usiku utayasikia yote, yani anaonge yote mpaka kwa vitendo.
 
Nashukur mkuu na ww umemuelew ana~act kujua saana kuliko uwezo wake wa kufikir...

no wonder..you are very advanced in thinking mpaka unaleta swali lililo wazi watu wakusaidie kufikiri...next time utauliza kama inawezekana ng'ombe kutaga mayai....
 
Back
Top Bottom