Kama ni uongo, huu ni kiboko

Kama ni uongo, huu ni kiboko

Kama alikwambia tarehe 1 mwezi wa 4 alikua anakudanganya ilikua sikukuu ya wajinga
 
Hapo siyo jamaa yake wa zamani, hapo ni yeye mwanamke ndiyo ana matatizo. Angalia na wewe jogoo wako akashindwa ghafla kufanya kazi.

Unataka kusema mwanamke ana majini mahaba??maana ndo kama yupo nao kaka kila mwanaume atakayekutana naye lazima jogoo afe direct
 
fikra mfu? My God..you are the biggest joke!! yaani unakuja kuuliza vitu visivyowezeka unapewa majibu-mlinganyo halafu unatukana?

ok, nabadilisha
inawezekana demu wako aliishi na mwanamme asiye rijali kwa miaka mitatu kama inavyowezekana bibi yangu mzaa mama kuwa bikra...hapo je?
better to b the biggest joke bt not to admit your stupidity similarities
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
Yani wewe uongo wako umezidi wa hili bandiko,kama vipi Moderator wabadilishe bandiko ili hii comment yako ndio iwe bandiko rasimi!
 
Last edited by a moderator:
Kaka kuwika kwa jogoo na kuokota ela wapi na wapi??jaribu kuelewa mada tafadhali

neno "kuwezekana" halipo exclusive kwenye kuwika kwa jogoo...ukijipa taabu kidoogo ya kusumbua ubongo utaona connection in relation to "kuwezekana" kwa mambo
 
Alafu Kuna tamthilia ya kihindi niliiona kitambo sana,nishasahau inaitwaje lakin Kuna jamaa m1 ni tajiri lakin hawiki,sasa anaoa mwanamke maskini lakin wataishi miaka kadhaa mwanamke anagundua kama mwanaume hawiki anaomba divorce,au siyo iyo tamthilia kaka??
 
We mwenyewe kwa fikra zako unaonaje?
Inawezekana?
 
better to b the biggest joke bt not to admit your stupidity similarities
(may be you meant stupid similarities?...yet incorrect grammar!)

your admission has nothing to do with it.

And there is no such a word like "stupidity similarities"..try "stupid comparison"
 
Unataka kusema mwanamke ana majini mahaba??maana ndo kama yupo nao kaka kila mwanaume atakayekutana naye lazima jogoo afe direct

Inawezekana. Hujaona baadhi ya wanawake kila akiolewa mwanaume anakufa. Utasikia kapitia ndoa zaidi ya nne na waume zake wote washafariki.
 
neno "kuwezekana" halipo exclusive kwenye kuwika kwa jogoo...ukijipa taabu kidoogo ya kusumbua ubongo utaona connection in relation to "kuwezekana" kwa mambo

Soma thread yote uielewe kaka,maana inawezekana umeelewa swali na haujaelewa thread inasemaje
 
Soma thread yote uielewe kaka,maana inawezekana umeelewa swali na haujaelewa thread inasemaje

demu wake kamuambia kuwa amespend miaka 3 na mwanamume lakini hajawahi kusex nae kwa sababu jogoo halipandi mtungi..jamaa anauliza kama hilo linawezekana?...na wewe umesoma hiyo hiyo ndugu?
 
(may be you meant stupid similarities?...yet incorrect grammar!)

your admission has nothing to do with it.

And there is no such a word like "stupidity similarities"..try "stupid comparison"
Thnks.... anyway your stupid comparison.
 
Inawezekana. Hujaona baadhi ya wanawake kila akiolewa mwanaume anakufa. Utasikia kapitia ndoa zaidi ya nne na waume zake wote washafariki.

Dah kweli nishasikia ilo mara kadhaa maana ata me wakati nikiwa kijana nilikapata kademu kazenj kana asili ya kiarabu kalikuwa kazuri sana na alinipenda sana,sema kumbe alikuwa na tatizo ilo kaka,nilikuwa nafaidi tu kiss aise mpaka mwisho wa siku ndo akaniambia ukweli ooohh ata nikiwa nakuja kukuona nakuchukia oohh nikiwa nakuja kukuona kichwa kinaniuma alafu usiku silali dah ana jini na lina watt na yeye kaka,alikuwa anaishi ilala boma nyuma la lile soko karibu na sheli kama unaenda buguruni,mwisho wa siku ilibidi tuachane wazima aisee maana ni mitihani
 
mbona kuna jamaa yangu anae mpenzi wake saivi miaka mitatu awajafanya kitu ila wanasubiri siku wakifunga ndoa lakini anaendelea kujituliza maeneo kona baa.
 
demu wake kamuambia kuwa amespend miaka 3 na mwanamume lakini hajawahi kusex nae kwa sababu jogoo halipandi mtungi..jamaa anauliza kama hilo linawezekana?...na wewe umesoma hiyo hiyo ndugu?

Okay,kuna maudhui hapo na swali mwishoni au???Sasa ww ukaanza why not nakunukunuu,ukaendelea ukasema kuna siku ulienda posta ukaokota ela,sasa kaka mfano wa jogoo awiki na wa kwenda mjini posta na kuokota ela na kuziacha na kufuata Azimio,huoni kama huo mfano wako tofauti sana thread kaka??
 
Huyo ni professional liar and cheater...! Cheating ni kazi yake huyo, dah!
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!

JF kiboko yao
 
Back
Top Bottom