kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 326
hahaha akufai uyo pasua kichwa kaka uo ni uongo wazi
Mr Yellow
Niongope ili iweje,??acha ujinga kujifanya mjuaji
hahaha akufai uyo pasua kichwa kaka uo ni uongo wazi
Mr Yellow
Inkhubu don't spoil your day mkuu..your logic was very simple..kama mtu hajakuelewa basi hajataka tu kuelewa
Sasa alikuwa anasimamisha kijiti ilj iweje!?
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
Duh miaka mitatu wanaangaliana tu!
Wana angalia nini sasa we boya!?
Mkuu acha ufa.las soma mada uilewe
Mkuu acha ufa.las soma mada uilewe
ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji.
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
Lini na maeneo gn mkuu nikachukue thic time???
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!