Ila ana kipaji kwakweli sio kwa fotokopi hiyoHuyo Akasomee kuchora Aisee!
Bora umetambua kipaji chake mapemaHuyo Akasomee kuchora Aisee!
Hahahahaaaa! niliona moja hivi, dogo kaitwa namwalimu asolve hesabu ya kujumlisha ubaoni akawa hajui jibu ,alipogeuka kuwatazama wenzie rafiki yake akamuonesha jibu kwa ishara ya idadi ya vidole vya mikono yake, badala ya kuandika namba ya idadi ya vile vidole yeye akaandika OK
ilo boga sio la nchi hii kwa kweli
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us