Kama ni kweli Mfumo unataka kumtumia, Zitto, HASIMU Rungwe, Mwijaku, na Baba levo Mfumo hauna Adabu kabisa

Kama ni kweli Mfumo unataka kumtumia, Zitto, HASIMU Rungwe, Mwijaku, na Baba levo Mfumo hauna Adabu kabisa

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Kama kweli

Mfumo unataka kumtumia Baba Levo kuvuruga uchaguzi Kigoma mjini

Pia mfumo unataka kumtumia Mwijaku kuvuruga uchaguzi Kigoma mjini

Bado pia haukuona pontetilaity ya Zitto unataka ashindwe Kigoma mjini aise mfumo unaaribu nchi mchana kweupe

Kwamba Mwijaku au huyo Baba Levo ndo washinde? Aise aise it's noncecne
 
Back
Top Bottom