Hatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie