kama ndo mimi...

nINGEENDELEA KUWANYONYA SANA WAJINGAWAJINGA WOOTE NA URAISI NINGEMWANDALIA MWANANGU RIZ SABABU SIJAONA KIONGOZI BORA ZAIDI YANGU>
 
ningepunguza mishaara ya wabunge na kuongeza ya walimu kwa kiasi kinachoridhisha kwa wote
 
ninge mengaaa videmu vyote vikaliii mjini na kuwaongaa ubungee na uwaziri au ukurugeziiii
 
Ningemteua Mh Rostam Aziz kuwa PM wangu ili tuwe karibu kuliko kujificha ficha.
 
Ningebadili katiba urais wangu usiwe na kikomo, hadi nitakapokufa!
 
Back
Top Bottom