Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,509
- 2,695
Pia ana MBA jamaa ni kipanga tatizo ni arrogant.Kumbe basi ni kipanga. Maana hiyo MD si ya kitoto, nilikuwa nawaona maPCB walivyokuwa wanakesha na mabuku yao makubwamakubwa
Pia ana MBA jamaa ni kipanga tatizo ni arrogant.Kumbe basi ni kipanga. Maana hiyo MD si ya kitoto, nilikuwa nawaona maPCB walivyokuwa wanakesha na mabuku yao makubwamakubwa
Ha ha ni kweli!!! Atakuwa hajamaliza!!!Amalize PhD kule twitter tusijue kigwa huyu huyu tunaemjua hapana aisee
Yaani Kigwa anapenda sana showoff.Biteko Kaz Kaz
Hana mambo ya kingwa sjui tu watafute misambwanda bongo movie, na kpanga mipng na s. Nyerere
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una nini?Kwahiyo kumiliki mabasi, chuo na mifugo ndio kutusua........hahahaaaa!
Mbona sasa haishi kulialia?!
Unaelewa maana ya ownership bwashee?!........ Huko kulialia na hivyo viYutong na tumbuzi ndio ukilaza wenyewe.
Nzega- TaboraMabasi ya Kigwangalla Express yapo wapi?
siasa anatakiwa kufanya nani? aliyekimbia shule kama Lusinde na Msukuma?Ivi wakina nani wanataka kumua Kihagwalla? Hafu uyu si anaitwa Dr. Hamis Kihagwalla na inaonekana amesoma sana.
Kwa nini watanzania wengi tunaachana na taaluma zetu na kukimbilia kwenye siasa.
Nchi yetu inahitaji wataalamu na wasomi wasaidie katika maendeleo.
Siasa zina madudu mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jessica Magufuli nae anasoma MD mhumbili?Kuna vilaza wengi tu nawajua waliosoma hapo Muhimbili!
Hapana Dr Lilian!Jessica Magufuli nae anasoma MD mhumbili?
Ni Tanzania pekee ambapo sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika while sifa ya kuwa dereva wa serikali ni kuwa na elimu angalau ya kidato cha nne,ccm na watu wake wanapaswa kuingizwa kwenye maajabu ya duniaNakuuliza wewe unaelialia!
Kipanga bungeni anatafuta nin?i....... Mtu anayekimbia fani yake ili akajumuike na akina Dr Msukuma na Dr Kibajaji mjengoni huyo ni kilaza tu!
Ni miongoni wa hao vilaza unaowazungumzia?Hapana Dr Lilian!
Ni mnyamweziKigwangala ni msukuma?!
Siasa za ccm ni za maji takaUkiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.
Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.
Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe na timu yako ya kusifu na kuabudu na nyiyi someni alama za nyakati. Mealimie Wakudadavua mweleze alama za nyakati znamhusu.Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.
Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.
Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Wakudadavuwa anasubiri kuvaa viatu vya Kangi!Wewe na timu yako ya kusifu na kuabudu na nyiyi someni alama za nyakati. Mealimie Wakudadavua mweleze alama za nyakati znamhusu.
Kichaa Hana simile.
Hapana , tatizo wasomi wetu ni wazee wa kujitoa ufahamusiasa anatakiwa kufanya nani? aliyekimbia shule kama Lusinde na Msukuma?
Toka lini ya magumashi ikatolewa na VoucherUkionesha payment voucher imeandikwaje naweza kukusaidia