Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Ivi wakina nani wanataka kumua Kihagwalla? Hafu uyu si anaitwa Dr. Hamis Kihagwalla na inaonekana amesoma sana.

Kwa nini watanzania wengi tunaachana na taaluma zetu na kukimbilia kwenye siasa.
Nchi yetu inahitaji wataalamu na wasomi wasaidie katika maendeleo.
Siasa zina madudu mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
siasa anatakiwa kufanya nani? aliyekimbia shule kama Lusinde na Msukuma?
 
Nakuuliza wewe unaelialia!

Kipanga bungeni anatafuta nin?i....... Mtu anayekimbia fani yake ili akajumuike na akina Dr Msukuma na Dr Kibajaji mjengoni huyo ni kilaza tu!
Ni Tanzania pekee ambapo sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika while sifa ya kuwa dereva wa serikali ni kuwa na elimu angalau ya kidato cha nne,ccm na watu wake wanapaswa kuingizwa kwenye maajabu ya dunia
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Siasa za ccm ni za maji taka
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe na timu yako ya kusifu na kuabudu na nyiyi someni alama za nyakati. Mealimie Wakudadavua mweleze alama za nyakati znamhusu.

Kichaa Hana simile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom