Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Hivi Kigwangala amefanywaje ?.Aliwahi kuifanya lini hiyo kazi?!
Hivi Kigwangala amefanywaje ?.Aliwahi kuifanya lini hiyo kazi?!
Kukariri nini?Acha kukariri bwashee!
Sio makao makuu, ni HEDI KOTA...weka kwa kiingereza hadhi yake ifahamike vyema.CCM majungu na rushwa ni makao makuu
Nimechimbua mtandaoni nikakuta makala ya mwaka 2015 inayosema alikuwa anamalizia PhD mwaka huo, akiwa tayari ana shahada tatu za MD, MPH na MBA. It's quite likely ameshamaliza hiyo PhD kwa hiyo ni Dr Dr (double doctorate!)Hana phd. Ile title ya Dr ni ya Md
Wewe uliweza? Uko wapi now? Na kama uliweza utuambie ni rahisi kupata? Na kama ni rahisi kwanini wengi wanashindwa? Na kama wanaoweza ni wachache kwanini tusikubali kuwa hao wachache wanaoweza ni vipanga?Wewe ulishindwa kupata division 1 ya PCB?
Acha uongo. Hebu taja majina na kozi walizosoma na kufaulu.Kuna vilaza wengi tu nawajua waliosoma hapo Muhimbili!
Nakuuliza wewe unaelialia!Wewe uliweza? Uko wapi now? Na kama uliweza utuambie ni rahisi kupata? Na kama ni rahisi kwanini wengi wanashindwa? Na kama wanaoweza ni wachache kwanini tusikubali kuwa hao wachache wanaoweza ni vipanga?
Kwahiyo ulitaka bungeni kujae vilaza tu?Nakuuliza wewe unaelialia!
Kipanga bungeni anatafuta nin?i....... Mtu anayekimbia fani yake ili akajumuike na akina Dr Msukuma na Dr Kibajaji mjengoni huyo ni kilaza tu!
Inaitwa MSISITIZO.Sio makao makuu, ni HEDI KOTA...weka kwa kiingereza hadhi yake ifahamike vyema.
Bwashee akili kubwa ya kujua Kusoma na Kuandika?!!!Kwahiyo ulitaka bungeni kujae vilaza tu?
Vipanga wanahitajika bungeni na ndipo mahali pao kwasababu pale panafanyika maamuzi yanayohitaji akili kubwa.
Kicheko chako hakiwezi kubadilisha kipanga mwenye MD na digrii nyingine kadhaa awe kilaza.Bwashee akili kubwa ya kujua Kusoma na Kuandika?!!!
Umenichekesha sana........unadhani walioweka SIFA za mbunge ni wajinga?!
Kwa sasa Kigwa atakua anapigiwa simu na Membe(Role model wake) akipewa pole nyingi kwa kashikashi anazozipitia.Nakuuliza wewe unaelialia!
Kipanga bungeni anatafuta nin?i....... Mtu anayekimbia fani yake ili akajumuike na akina Dr Msukuma na Dr Kibajaji mjengoni huyo ni kilaza tu!
Bwashee ni kipanga wa maisha siyo hawa wa makaratasi akina Hamis na Ulimboka ambao hawajawahi kutibu hata sisimizi!Kicheko chako hakiwezi kubadilisha kipanga mwenye MD na digrii nyingine kadhaa awe kilaza.
by the way, 'bwashee' ni kitu gani?
Umemsahau Pierre liquid mkuuHapi, Gambo, Makonda, shilole, Harmonize, hawa wanaingia mjengoni na Bashe atakua waziri kamili wa kilimo huku tulia akiwa spika kamili wa Bunge na Ndugai atakua mwenyekiti wa bodi au mkuu wa chuo mark my words
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo ya vipanga wa maisha ni mambo yasiyokuwa na viwango vya kupimia, hata majambazi utawaita vioanga wa maisha. Tunazungumzia vipanga wa academics, jambo linalopimika kwa accredited standards.Bwashee ni kipanga wa maisha siyo hawa wa makaratasi akina Hamis na Ulimboka ambao hawajawahi kutibu hata sisimizi!
Kwahiyo kumiliki mabasi, chuo na mifugo ndio kutusua........hahahaaaa!Hiyo ya vipanga wa maisha ni mambo yasiyokuwa na viwango vya kupimia, hata majambazi utawaita vioanga wa maisha. Tunazungumzia vipanga wa academics, jambo linalopimika kwa accredited standards.
Kama unazungumzia vipanga wa maisha hata Musukuma na Kibajaji uliowataja ni vipanga.
Hata kwenye kigezo chako cha 'kipanga wa maisha' Kigwa ametusua pia. Unaambiwa anamiliki mabasi, mashamba, mifugo, chuo. Wewe una nini?
Kuna misambwanda ya bongo movie walikuwa wanaiviziaHamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Biteko Kaz KazBiteko ana akili hata kwenye social media hayupo. Hamis mara apost ndama wake kazaa yaani showoff kibao.