dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,912
- 3,462
Habarini waungwana!
Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya kumfanyia uchunguzi na councelling mtoto mmoja wa form 1 (13yrs) katika shule fulani ya boarding!
Baada ya kudadisi vizuri zaidi akaniambia kuwa huyo mtoto amelatiwa na mtu mzima (possibly mlinzi wa shule) ila ameambiwa amfanyie councell mtoto asije kutangaza (Shiit) ili kuharibu jina la shule hiyo!
Sasa kama mzazi najiuliza usalama wa watoto wetu huko mashuleni, tunawapeleka bado wadogo sana then inakuwa ni mbali halafu wanakaa muda mrefu,
Jambo hili limeniuma ndo maana nikalileta hapa!
Ushauri wangu Kama mzazi, muangalie watoto wenu, Msijifanye mko biiize kutafuta hela mpaka mnawatupa boarding school wakiwa wadogo(hata kujitetea hawawezi)
Naandika ikiwa bado nimeumia as if ni mtoto wangu ndo amefanyiwa hivo!
Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya kumfanyia uchunguzi na councelling mtoto mmoja wa form 1 (13yrs) katika shule fulani ya boarding!
Baada ya kudadisi vizuri zaidi akaniambia kuwa huyo mtoto amelatiwa na mtu mzima (possibly mlinzi wa shule) ila ameambiwa amfanyie councell mtoto asije kutangaza (Shiit) ili kuharibu jina la shule hiyo!
Sasa kama mzazi najiuliza usalama wa watoto wetu huko mashuleni, tunawapeleka bado wadogo sana then inakuwa ni mbali halafu wanakaa muda mrefu,
Jambo hili limeniuma ndo maana nikalileta hapa!
Ushauri wangu Kama mzazi, muangalie watoto wenu, Msijifanye mko biiize kutafuta hela mpaka mnawatupa boarding school wakiwa wadogo(hata kujitetea hawawezi)
Naandika ikiwa bado nimeumia as if ni mtoto wangu ndo amefanyiwa hivo!