Kama mzazi hili limeniuma sana!

Kama mzazi hili limeniuma sana!

dist111

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
3,912
Reaction score
3,462
Habarini waungwana!

Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya kumfanyia uchunguzi na councelling mtoto mmoja wa form 1 (13yrs) katika shule fulani ya boarding!
Baada ya kudadisi vizuri zaidi akaniambia kuwa huyo mtoto amelatiwa na mtu mzima (possibly mlinzi wa shule) ila ameambiwa amfanyie councell mtoto asije kutangaza (Shiit) ili kuharibu jina la shule hiyo!
Sasa kama mzazi najiuliza usalama wa watoto wetu huko mashuleni, tunawapeleka bado wadogo sana then inakuwa ni mbali halafu wanakaa muda mrefu,
Jambo hili limeniuma ndo maana nikalileta hapa!
Ushauri wangu Kama mzazi, muangalie watoto wenu, Msijifanye mko biiize kutafuta hela mpaka mnawatupa boarding school wakiwa wadogo(hata kujitetea hawawezi)
Naandika ikiwa bado nimeumia as if ni mtoto wangu ndo amefanyiwa hivo!
 
Tatizo siyo ubusy ndugu yangu. Wakati mwingine wazazi wengi wanajifanya kwenda na wakati kumbe mambo mengine ni yakuwa makini. Mtoto kama huyo akishakwenda sekondari hakuna jinsi, anatakiwa kusoma ila wazazi tunatakiwa kuwa na muda wa kuongea nao ili kuwafahamisha dunia inavyokwenda. La sivyo tutakuwa tunategeneza taifa jingine ambalo mwisho wake utakuwa mbaya zaidi kuliko kuwatafutia maisha ya baadaye.
 
na hata wazazi 2mezidi pia unakuta mtoto anamiaka 4 unampeleka shule ya bweni eti anaenda kusoma je hayo malezi ya wazazi atayapata wapi
 
Jamani hatuwapeleki boarding kwa sababu ya ubize, mazingira yanasababisha. Sasa kwa hali hii ya usafiri Dar es salaam, mtoto kusoma day si mateso makubwa? Nina jamaa yangu anakaa Makongo juu mwanae anasoma st Anthony sijui, kila siku anarudi saa tatu usiku, si mateso hayo? Lakini ujumbe umetufikia mkuu, nina binti yupo boarding. Kila siku roho juu juu tu jinsi ya kumlinda na huu ulimwengu katili. Mpaka wakati mwingine nafikiri I worry too much. Kitaniua na presha hiki kitoto. Naomba tu waniachie walau afikishe 18!
 
Huyu mtoto aliyelawitiwa alikuwa wa kike au wa kiume?
 
daaaaaaaaaaaaah jamani jamani watoto
nimezimia hapa
 
Binafsi huwa napinga sana kitendo cha watoto wadogo kupelekwa shule za bweni...mtoto anatakiwa kuwaacha wazazi wake na kukaa mbali mpaka anapofikisha umri wa miaka 18.....
 
Habarini waungwana!

Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya kumfanyia uchunguzi na councelling mtoto mmoja wa form 1 (13yrs) katika shule fulani ya boarding!
Baada ya kudadisi vizuri zaidi akaniambia kuwa huyo mtoto amelatiwa na mtu mzima (possibly mlinzi wa shule) ila ameambiwa amfanyie councell mtoto asije kutangaza (Shiit) ili kuharibu jina la shule hiyo!
Sasa kama mzazi najiuliza usalama wa watoto wetu huko mashuleni, tunawapeleka bado wadogo sana then inakuwa ni mbali halafu wanakaa muda mrefu,
Jambo hili limeniuma ndo maana nikalileta hapa!
Ushauri wangu Kama mzazi, muangalie watoto wenu, Msijifanye mko biiize kutafuta hela mpaka mnawatupa boarding school wakiwa wadogo(hata kujitetea hawawezi)
Naandika ikiwa bado nimeumia as if ni mtoto wangu ndo amefanyiwa hivo!

Wewe na daktari hamtofautiani kabisaa, maana daktari kawatunzia siri wenye shule na wewe umemtunzia siri dakari. Kweli nyani halioni ----- lake
 
Jamani hatuwapeleki boarding kwa sababu ya ubize, mazingira yanasababisha. Sasa kwa hali hii ya usafiri Dar es salaam, mtoto kusoma day si mateso makubwa? Nina jamaa yangu anakaa Makongo juu mwanae anasoma st Anthony sijui, kila siku anarudi saa tatu usiku, si mateso hayo? Lakini ujumbe umetufikia mkuu, nina binti yupo boarding. Kila siku roho juu juu tu jinsi ya kumlinda na huu ulimwengu katili. Mpaka wakati mwingine nafikiri I worry too much. Kitaniua na presha hiki kitoto. Naomba tu waniachie walau afikishe 18!

Tutafute shule za karibu, tuwe na wenetu karibu! Tunapigika kutafuta rizki kwa ajili ya future yao, Tuwe makini zaidi
 
Binafsi huwa napinga sana kitendo cha watoto wadogo kupelekwa shule za bweni...mtoto anatakiwa kuwaacha wazazi wake na kukaa mbali mpaka anapofikisha umri wa miaka 18.....

hii ndio sahihi, mtoto akisoma karibu na nyumbani anapata yote, ya familia na shule! Sasa watagemea mtoto mdogo wenzako wakulelee! ndo tabu inapoanza
 
Habarini waungwana!

Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya kumfanyia uchunguzi na councelling mtoto mmoja wa form 1 (13yrs) katika shule fulani ya boarding!
Baada ya kudadisi vizuri zaidi akaniambia kuwa huyo mtoto amelatiwa na mtu mzima (possibly mlinzi wa shule) ila ameambiwa amfanyie councell mtoto asije kutangaza (Shiit) ili kuharibu jina la shule hiyo!
Sasa kama mzazi najiuliza usalama wa watoto wetu huko mashuleni, tunawapeleka bado wadogo sana then inakuwa ni mbali halafu wanakaa muda mrefu,
Jambo hili limeniuma ndo maana nikalileta hapa!
Ushauri wangu Kama mzazi, muangalie watoto wenu, Msijifanye mko biiize kutafuta hela mpaka mnawatupa boarding school wakiwa wadogo(hata kujitetea hawawezi)
Naandika ikiwa bado nimeumia as if ni mtoto wangu ndo amefanyiwa hivo!


dist111 Heshima mbele,

Awali ya yote umesema wewe ni Mzazi,

Na kama mzazi makini naomba ufanye yafuatayo:

Mosi, Kuna suala la kubaka mtoto tena kinyume cha maumbele na Mlinzi wa shule. Mabadiliko yanaanza na sisi wenyewe, chukua hatua stahiki baada ya kupata jina la mtoto na kuwashirikisha wazazi wake (Rohoni fikiria kuwa huyo ni mtoto wako wa kumzaa na amefanyiwa hivyo);

Pili, tunza jina la mtoto, lakini toa habari yenye mashiko, taja jina la shule, hospitali na siku huyo mtoto alivyopelekwa kufanyiwa ushahuri nasaha.

Mwisho, suala si 'credibility' ya shule bali suala ni usalama wa mtoto. chukua hatua, change begins with you!!
 
dist111 kama mada chukua hatua stahiki na usipofanya hivyo nafsi yako itaendelea kukusuta kwani nawe utakuwa sehemu ya huo ubazazi!!
 
WE TAJA HIYO SHULE!!!!!!! LASIVO NA WEWE MNAFIKI TU! Ukute hata wazazi wa huyo mtoto hawajui maskini!

Maisha kumuomba Mungu tu! Mimi nimeishi Hostel Binafsi maisha yote ya shule! Mambo ya boarding hayana ishu! Hostel mpango mzima, full kujiachia na kujifunza kujismamia mwenyewe! Matron yupo wa ushahidi tu!
 
dist111 Heshima mbele,

Awali ya yote umesema wewe ni Mzazi,

Na kama mzazi makini naomba ufanye yafuatayo:

Mosi, Kuna suala la kubaka mtoto tena kinyume cha maumbele na Mlinzi wa shule. Mabadiliko yanaanza na sisi wenyewe, chukua hatua stahiki baada ya kupata jina la mtoto na kuwashirikisha wazazi wake (Rohoni fikiria kuwa huyo ni mtoto wako wa kumzaa na amefanyiwa hivyo);

Pili, tunza jina la mtoto, lakini toa habari yenye mashiko, taja jina la shule, hospitali na siku huyo mtoto alivyopelekwa kufanyiwa ushahuri nasaha.

Mwisho, suala si 'credibility' ya shule bali suala ni usalama wa mtoto. chukua hatua, change begins with you!!
this^.

the kid was raped, the rapist needs to be admonished severely. huyo mtoto afanyiwe counseling ili aweze kumove na maisha yake sio eti 'asiseme kuharibu sifa ya shule' :evil:. shule imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kumlinda mtoto na lazima hatua kali zichukuliwe
 
dist111 Heshima mbele,

Awali ya yote umesema wewe ni Mzazi,

Na kama mzazi makini naomba ufanye yafuatayo:

Mosi, Kuna suala la kubaka mtoto tena kinyume cha maumbele na Mlinzi wa shule. Mabadiliko yanaanza na sisi wenyewe, chukua hatua stahiki baada ya kupata jina la mtoto na kuwashirikisha wazazi wake (Rohoni fikiria kuwa huyo ni mtoto wako wa kumzaa na amefanyiwa hivyo);

Pili, tunza jina la mtoto, lakini toa habari yenye mashiko, taja jina la shule, hospitali na siku huyo mtoto alivyopelekwa kufanyiwa ushahuri nasaha.

Mwisho, suala si 'credibility' ya shule bali suala ni usalama wa mtoto. chukua hatua, change begins with you!!

Umeelewa lakini kisa chenyewe, hata kama ukiripoti polisi ushahidi hakuna! Mtoto katuliza, mwalimu ndo hivo na mhudumu wa afya kesha kula chake! its hard dats why inaniuma saaana! (Nina kabinti kangu kanakaribia kuanza shule napanga kukafundiswa mwenyewe) Daah
 
Umeelewa lakini kisa chenyewe, hata kama ukiripoti polisi ushahidi hakuna! Mtoto katuliza, mwalimu ndo hivo na mhudumu wa afya kesha kula chake! its hard dats why inaniuma saaana! (Nina kabinti kangu kanakaribia kuanza shule napanga kukafundiswa mwenyewe) Daah
wewe taja shule la sivo itakuwa laana ya hako ka kwako nako katafanyiziwa maana umekumbatia uhalifu
 
Umeelewa lakini kisa chenyewe, hata kama ukiripoti polisi ushahidi hakuna! Mtoto katuliza, mwalimu ndo hivo na mhudumu wa afya kesha kula chake! its hard dats why inaniuma saaana! (Nina kabinti kangu kanakaribia kuanza shule napanga kukafundiswa mwenyewe) Daah

Mkuu, ushahidi bado hupo na hasa ushahidi wa mtoto. suala ni wewe kujaribu kuliweka wazi hapa jamvini. uenda mzazi au jamaa ya mzazi wa muanga (victim) ni mwanaJF. Wanaweza kwenda kufanya uchunguzi sehemu yoyote na ikijulikana kuwa mtoto huyo ameingiliwa kinyume cha maumbile basi hapo hatua stahiki zitachukuliwa.

Kumbuka mtoto anaweza taja mpaka hospitali haliyopelekwa n.k. Tafadhari, chukua hatua taja jina la shule, na darasa la mtoto hiyo itasaidia sisi kutoa muongozo kwa familia.

Narudia, Change begins with you...we are the change that we have been seeking for!! usizunguke mbuyu...
 
dist111 kama mzazi na kama mwananchi mwenye kufuata maadili mema!! chukua hatua ...leo kwa mwenzio kesho kwako!! usimlee 'a defiler'...chukua hatua stahiki. huitaji kwenda polisi bali unahitaji kuanika maovu yote hadharani...shule gani hii ambayo inashiriki kuficha uovu na kumuonga 'daktari' ambaye anakaaa baa kunywa hiyo hongo akifurahia uharibifu ..kweli hizi zama za kizazi cha nyoka... jivue gamba dist111 na chukua hatua ...usimung'inye mung'unye maneno!!
 
Back
Top Bottom