Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Kama umefuatilia mwenendo wa mwanasiasa huyu hasa kwa kutazama matukio anayotuhumiwa kuhusika nayo,kauli na michango yake pale mjengoni, ni dhahiri utaridhika na kuamini kuwa ni mtu mwenye roho ngumu na pengine amekosa "ubinadamu".
Pale mjengoni zikiletwa sheria kandamizi lazima aunge mkono!Ikija hoja kuhusu mauaji atatetea wauwaji. Hata waliouwawa katika mikutano ya chama X sehemu mbalimbali nchini hakosi kutajwa!
Huyu jamaa akishika dola,wafungwa wa kisiasa watakuwa mamia na wengi wataishia jela kama sio kuuwawa.
Kwa maneno machache tu,huyu jamaa akibahatika kuingia pale magogoni cha kwanza itakuwa kusaini wafungwa wote wanaosubiri hukumu ya kifo wanyongwe.Kwa jinsi navyomuona,akiletewa document kama hiyo atasaini mara moja huku akitabasamu.
Huyu ni mtu ambae damu ikimwagika kwake sio issue na ndio maana hata ile sheria kandamizi ya mwaka 1976 kuhusu .... aliunga mkono ipitishwe pale mjengoni!
Pale mjengoni zikiletwa sheria kandamizi lazima aunge mkono!Ikija hoja kuhusu mauaji atatetea wauwaji. Hata waliouwawa katika mikutano ya chama X sehemu mbalimbali nchini hakosi kutajwa!
Huyu jamaa akishika dola,wafungwa wa kisiasa watakuwa mamia na wengi wataishia jela kama sio kuuwawa.
Kwa maneno machache tu,huyu jamaa akibahatika kuingia pale magogoni cha kwanza itakuwa kusaini wafungwa wote wanaosubiri hukumu ya kifo wanyongwe.Kwa jinsi navyomuona,akiletewa document kama hiyo atasaini mara moja huku akitabasamu.
Huyu ni mtu ambae damu ikimwagika kwake sio issue na ndio maana hata ile sheria kandamizi ya mwaka 1976 kuhusu .... aliunga mkono ipitishwe pale mjengoni!