Umeme ulikuwa unatumiwa bure?
Werema zimemuingia hahaahaahahah lol
Gazeti gani hilo mkuu
Umelipwa ngapi? Acha kutuletea kichefuchefu hapa!Rutunga ukitazama sana utaona wazi kuwa gado anataka kutuongoza woote tuamini anavyotaka yeye as if yeye anawasiliana na mwalimu huko kuzimu. Lakini jamani tuwe wakweli na Mungu atusaidie, hela inakuwaje ya umma wakati umma umelipia huduma uliyopata? huoni kuwa hiyo nidhuluma kwa mtoa huduma?? Tanesco wasingeweza kupeleka hela escrow akaunti bila kuwa na ankara za madai na wangefanya hivyo wangepata hoja za mkaguzi. Sasa watu wamekubaliana na mmoja kanunua iptl kwa maana mali na madeni..Mali ni pamoja na hela zilizoko escrow na madeni ni pamoja na ankara za tanesco. Kwa nini tusiende kwa mfumo wa hesabu za kawaida tu kuliko kuchafuana na kutukanana???Mimi pia nasema sio hela za umma bali ni za iptl
Rutunga ukitazama sana utaona wazi kuwa gado anataka kutuongoza woote tuamini anavyotaka yeye as if yeye anawasiliana na mwalimu huko kuzimu. Lakini jamani tuwe wakweli na Mungu atusaidie, hela inakuwaje ya umma wakati umma umelipia huduma uliyopata? huoni kuwa hiyo nidhuluma kwa mtoa huduma?? Tanesco wasingeweza kupeleka hela escrow akaunti bila kuwa na ankara za madai na wangefanya hivyo wangepata hoja za mkaguzi. Sasa watu wamekubaliana na mmoja kanunua iptl kwa maana mali na madeni..Mali ni pamoja na hela zilizoko escrow na madeni ni pamoja na ankara za tanesco. Kwa nini tusiende kwa mfumo wa hesabu za kawaida tu kuliko kuchafuana na kutukanana???Mimi pia nasema sio hela za umma bali ni za iptl
huyo gado anadoea huko kenya anasahau kwao