Kama Mwalimu angelikuwepo...

Kama Mwalimu angelikuwepo...

Mkasika

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
391
Reaction score
155
attached_photo.jpg

Ukweli ndo huu...

View attachment 29420
 
Sina uhakika kama kweli watavua magamba! ha ha
 
Mkapa kalamba vyake na kaanza kimya kimya kimya, Mwinyi mbona hayupo au yeye fresh?
 
Kwa staili hiyo nadhani ku2buruza kusinge kuwepo.
 
Mh huyo anayeadhibiwa nadhan fimbo zake zingekuwa zaid ya mia.
 
Anayeendelea kulambwa ilifaa avue nguo kabisa ili fimbo ziingie ndani zaidi.
 
Back
Top Bottom