Kama Mungu yupo anapaswa kuniomba msamaha haraka sana.

Kama Mungu yupo anapaswa kuniomba msamaha haraka sana.

downloadfile-106.jpg
 
Akuombe msamaha kwa kukuumba au kwa ajili ya nini?
 
Mkuu bado una nafasi ya kuacha bange
Nikiwa kama mwenyekiti wa wavuta bange hapa nchini.

Ninasema, bange haiwezi kumfanya mtu aandike utopolo huo.

Nikushauri labda lawama zako ungezipeleka kwa WALEVI WA POMBE.
 
Setfree kila unapoitisha maombi kuna mambo yanakuwa hayaendi sawa Kwa member wenzio hapa JF .hivi NI maombi gani na kwa Mungu gani uwa unawasilisha .
 
Nikiwa kama mwenyekiti wa wavuta bange hapa nchini.

Ninasema, bange haiwezi kumfanya mtu aandike utopolo huo.

Nikushauri labda lawama zako ungezipeleka kwa WALEVI WA POMBE.
Walevi WA pombe hayo mambo hatuna . Kwanza huo muda WA kumuwaza Mungu tunautolea wapi sis na mbususu Tu
 
Back
Top Bottom