Kwa kua umekiri report za cag,pccb hazijamtaja muhongo nami naomba tuliachie hapo. Pili hakuna report ya tra,labda kama unayo yako uiweke hapa.
Hoja yako kuijustify na kamati ya pac na bunge kwa ujumla,nikuachie mwenyewe,binafsi sichukulii kila kinachosemwa na bunge kama ndio ukweli wenyewe,wabunge hawa wanaoongozwa kwa hisia,ushabiki,rushwa wanaweza kuazimia jambo baada ya kupewa mlungura.
Leo kila mtu anamuona lowasa msafi,mtakatifu wakati bunge hilo ndio lililomchafua kua ni mwizi miaka kadhaa iliyopita,wabunge hao wanaopitisha bajeti baada ya kupewa chochote,kumbuka kesi ya jairo kutafta pesa awahonge.
Nipe hoja nyingine ila kutumia bunge kujustify hoja yako naona una matatizo.